Kweli hii ni nchi ya wadanganyika fact ziko wazi bado mtu unabisha tuache ushabiki tuwe critical thinkers. By the way Lowasa hawaamini CDM Original, ndio maana yuko busy anategeneza CCM B au CHALOWASA yangu macho
Hiyo argument haina mashiko wewe sio mwanamageuzi ila mwanamihemko ni muda mfupi tu utaona in ujinga. Tunataka mageuzi sio mihemko
Ni kweli bro sijui ndio wale waliondikwa kwenye vitabu vya dini kuwa wana macho lakini hawasikii...... watu badala ya kukanusha eti hatudanganyiki... only in Tanzania