Mke wangu namtongoza upya kila siku

Mke wangu namtongoza upya kila siku

Mechi mbili kwa mwezi.... Alafu zenyewe ni counter attack........game za counter attack huwa dak moja nying sana arifu... Fast tu game over.. Khaaaa
 
Kwani kabla hajabadilika ilikuwaje..ilikuwa mechi ngapi angalau kwa wiki..inawezekana kapata kamchepuko asee..kama idadi ya mechi imepungua sana unapaswa kufuatilia tatizo ni nini.
 
mjomba safari ni ndefu tafuta hela kwa nguvu zote atabadilika tuu.
 
Tatizo ni kufika home Saa 2 usiku au kunalingine....????
 
Ndugu zangu ndoa yangu ina miaka saba na tumejaaliwa watoto wawili. Kabla ya kufunga ndoa alikuwa mtiifu na mnyenyekevu, baada ya ndoa mambo yamebadilika.

Nikirudi kazini namkuta kalala saa mbili tu anadai nimechelewa. Usiku nikilala wala hanigusi hata, nikiomba mechi anabana miguu, kwa mwezi nabahatisha mechi mbili ambazo zote ni counter attack.

Najiuliza hivi ndoa zote zipo hivihivi au ni mimi tu? Kwa sasa nipo kwenye harakati za kutafuta mchepuko ambao utanipa fleva ila sitaupa full mkataba.
tafuta mchepuko fasta atajilekebisha na.kwanini ufunge ndoa na wanawake wa siku hiz
 
tafuta mchepuko,ht wa kwangu alikuwa hivyo nikatafuta mchep mtakatifu,weeeee........saiv mambo safi......ht kama hana wivu lazima roho iume
 
Ndugu wala usijishauri wewe tafta mchepuko ndo dawa yake tena tafta mchepuko kiboko yake loh mbona utamkuta getini anakusubiri. Kumbuka kuleta mrejesho
 
Ndugu zangu ndoa yangu ina miaka saba na tumejaaliwa watoto wawili. Kabla ya kufunga ndoa alikuwa mtiifu na mnyenyekevu, baada ya ndoa mambo yamebadilika.

Nikirudi kazini namkuta kalala saa mbili tu anadai nimechelewa. Usiku nikilala wala hanigusi hata, nikiomba mechi anabana miguu, kwa mwezi nabahatisha mechi mbili ambazo zote ni counter attack.

Najiuliza hivi ndoa zote zipo hivihivi au ni mimi tu? Kwa sasa nipo kwenye harakati za kutafuta mchepuko ambao utanipa fleva ila sitaupa full mkataba.

Akibana miguu mtekenye atalegeza!! Then unapenya na kupiga hizo kaunta atak zako
 
Kwa aina ya temper niliyonayo sidhani kama nafaa kuwa na mke ndani aiseeee.........................
 
angalia mfumo wako wa maisha mara baada ya ndoa na sasa, chunguza mazuri aliyokuwa anakufanyia na uliokuwa unamfanyia, ukifanya kwa uaminifu utabaini tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom