Recent content by NOT FOUND

  1. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Hali bado ni Mbaya JIMBONI
  2. NOT FOUND

    Kijana Sande aliyekuwa na kilo 250, amefariki dunia!

    Acha kujidai mjuaji wakati wewe mwenyewe unaongea ushuzi. Ushaambiwa Emirates wamelipwa dola 13,000 kwa ajili ya mtu mmoja ili achukue siti 4 peke yake. Mpaka wakapokea hizo hela hawakujua kwamba wana regulations zao za aviation?? Hapa mashirika ya ndege yaliyopokea pesa lazima yawajibishwe. Hii...
  3. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Sasa kama changamoto za jimbo la Bumbuli zinamshinda ataweza changamoto za Tanzania nzima??
  4. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Ndugu yangu CHAMVIGA 1. Hilo Suala la halmashauri January amelikuta na limeasisiwa na Shelukindo ndiye aliyeanzisha mchakato wa Kuifanya halmashauri. 2. Hayo mengine yote uliyotaja nafahamu hata wewe mwenyewe unajua kuwa ni porojo kwa sababu hizo ATM sio za serikali. Ishu za elimu, afya etc...
  5. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Mkuu CHAMVIGA Unaweza kunitajia hayo mazuri ambayo January amefanya japo kwa ufupi?
  6. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Mkuu nngu007 Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:
  7. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Watetezi wa Makamba na makada wa sisiemu akina Mingoi, Simiyu Yetu. FaizaFoxy na wengineo mje muone jimbo la ndugu yenu.
  8. NOT FOUND

    Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

    Natoa rai kwa ndugu yetu makamba. Kabla hujafikiria kugombea uraisi wa Tanzania hakikisha kwanza hii barabara na matatizo mengine ya Bumbuli yamepatiwa ufumbuzi vinginevyo hata huo Ubunge hatukupi tena, haiingii akilini kutaka kuongoza nchi kama jimbo pekee limekushinda.
  9. NOT FOUND

    Hii ndio CV ya Mwana CHADEMA aliyeko ndani ya CCM ila Watanzania bado hawajamfahamu vizuri...

    mmmh, hapo kwenye violet nilipo bold panaonesha ni kwa jinsi gani watanzania hatupo serious, hiyo ni website ya bunge, moja kati ya mhimili wa taifa. B.a halafu level wanaandika masters??????
  10. NOT FOUND

    Hodi Hodi.... NIMEJIREKEBISHA WAKUU...........!!

    Naahidi kuwa mwanachama mwema wa J.F Wale wote niliowakosea tusameheane, tunajenga nyumba moja hivyo tusigombane kwa sababu ya kugombea fito. - Regards [*****]
  11. NOT FOUND

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    NAPE IS NEXT....... copy my words, before 2015.
  12. NOT FOUND

    Mashangingi ya CHADEMA!!

    Wewe ni nguruwe tu. Huna hoja mtumwa wa magamba wewee.
  13. NOT FOUND

    Jiunge tanzanialifeclub sasa!

    HUSNINYO MI NIPO TAYARI UWE MCHUMBA. wewe andaa tu commision yao.
  14. NOT FOUND

    Mashangingi ya CHADEMA!!

    WEWE NI GAY. HAIWEZEKANI MTOTO WA KIUME UJIITE KIM KADASH. PUMBAAF ZAKO MTUMWA WA NAPE WEWE. shwain zako....
Back
Top Bottom