Kwa sababu HAO ulio wataja hapo juu HAWAKUMALIZA matatizo ya wapiga kura wao kabla hawajachukua madaraka ya juu basi UME JUSTIFY hata Makamba asipo tatua matatizo ya wana Bumbuli is OK?
Nilikuwa Bumbuli ukweli ni kuwa Makamba ni mzuri sana kwenye kuongea lkn utekelezaji ni bure kabisa!Ahadi zake zote hata kuimarisha bei ya chai kashindwa kuitekeleza!
Baraka Shelukindo akichukua form anamuangusha Makamba easily tu kura za maoni CCM ingawaje sasa kuna "mazungumzo yanafanywa" ili Baraka asichukue form