Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

Barabara ya Bumbuli jimboni kwa January Makamba

wewe mpumbavu kazi ya mwakilishi wa wananchi nini? Inamaana kila mwananchi aende tanroad kuuliza? Basi haina maana ya kuwa na mwakilishi Pambaf wewe
Navyojua mimi mpumbavu ni yule asie elewa sasa umeshaambiwa usimamizi wa barabara upo chini ya wizara ya ujenzi, zingine zipo chini ya ofisi ya waziri mkuu na serikari za mitaa unajuaje mipango na budget zao hizo sehemu na mikakati yao au unafikiri mmbunge anatakiwa ajenge kwa hela zake mwenyewe hizo barabara kama jamaa hawapo tayari mwerevu wewe?
 
Charity begins at home, ili kua mfano wa uwezo wako. Kama huaminiki kwa kidogo, utaaminikaje kwa kikubwa? Kutafuta wafadhiri wa ndani na nje kwa miaka mi nne iliyopita imekua gumzo, nje akiwa rais ndo itakuwaje. Uongozi unaanzia kwenye sehemu ndogo tu, na ifikapo katika ngazi ya juu, watu wanakuamini utaweza. Kwa hali hii, alibaki kuunga mkono hoja na kupiga makofi bungeni wakati uwani kwake hali mbaya ya barabara.
 
Kuna wakati wowote toka Tanzania ipate Uhuru kumteengenezwa barabara nyingi zaidi ya huu wa Kikwete? Serikali inayoongozwa na Kikwete iliweka wazi msimamo wake kuhusu mawasiliano ya barabara, kwanza za kuunganisha mikoa, halafu za kuunganisha wilaya, halafu za kuunganisha vijiji.Naam, tumeona mafanikio makubwa sana, sasa hivi karibia mikoa yote inaunganishwa kwa barabara za kiwango cha lami na ambazo bado basi makandarasi wako kazini.
 
Watetezi wa makada wa sisiemu na wengineo mje muone jimbo la ndugu yenu.
Mkuu Hujapatikana (Not Found), kijana anafanya kazi nzuri sana, na tena kwa 2015, atatufaa sana kule juu!, kama kigezo ndio hiyo barabara, ulipaswa kuipiga picha wakati alipoingia na kuipiga tena sasa!, unaona wazi kabisa, barabara hiyo imechongwa angalau sasa mabasi yanapita!, kabla ya hapo si nimlikuwa mnalazimika kugeuzwa mizigo kwa kupanda mikokoteni?!.

Barabara imechongwa na bahati mbaya Mungu kaleta mvua mapema kabla haijakomaa!, hii ni dalili nzuri ya uletaji maendeleo, inabidi yaletwe kidogo kodogo ili mummpe miak mitano mingine ya kumalizia hiyo barabara!.

Tukiamua kuwapima wagombea wetu kwa kigezo cha kutuleta maendeleo kwa kipimo wamefanya nini, hakuna mgombea yoyote wa kushindana na yule "jamaa yangu!", ila ili kuleta kipimo cha haki, inabidi tuletewe humu precedence ya Mwinyi alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, Mkapa alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, na Jakaya alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, ndipo tulinganishe na huyu kijana amefanya nini kustahili ofisi ile!.

Nasisitiza kijana namfahamu, anafaa!.

Pasco
 
Mkuu Hujapatikana (Not Found), kijana anafanya kazi nzuri sana, na tena kwa 2015, atatufaa sana kule juu!, kama kigezo ndio hiyo barabara, ulipaswa kuipiga picha wakati alipoingia na kuipiga tena sasa!, unaona wazi kabisa, barabara hiyo imechongwa angalau sasa mabasi yanapita!, kabla ya hapo si nimlikuwa mnalazimika kugeuzwa mizigo kwa kupanda mikokoteni?!.

Barabara imechongwa na bahati mbaya Mungu kaleta mvua mapema kabla haijakomaa!, hii ni dalili nzuri ya uletaji maendeleo, inabidi yaletwe kidogo kodogo ili mummpe miak mitano mingine ya kumalizia hiyo barabara!.

Tukiamua kuwapima wagombea wetu kwa kigezo cha kutuleta maendeleo kwa kipimo wamefanya nini, hakuna mgombea yoyote wa kushindana na yule "jamaa yangu!", ila ili kuleta kipimo cha haki, inabidi tuletewe humu precedence ya Mwinyi alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, Mkapa alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, na Jakaya alifanya nini kabla kustahili ofisi ile?!, ndipo tulinganishe na huyu kijana amefanya nini kustahili ofisi ile!.

Nasisitiza kijana namfahamu, anafaa!.

Pasco
Pasco hii user yako umemwachia mtoto wako wa darasa la pili ndo anaitumia?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND
Mkuu umenisikitisha sana. Siamini kama na wewe unaweza kuwa na mawazo mgando namna hii. Kwaiyo unataka kusema majimbo mapya yawe yanasubiri miaka mingapi kabla kuanza kupata maendeleo?
 
NOT FOUND habari mkuu wangu? kwanza ni kupongeze kwa kutu update hali ya miundombinu ya jimbo letu la Bumbuli na pia nakupongeza kwa kuguswa na hali hiyo ya kusikitisha. Lakini naomba nikukumbushe kuwa hiyo balbala kwa muda mrefu sana tangu kipindi cha mh SHELUKINDO imekuwa mbovu sana na muda mwingi imekuwa inarekebishwa tu bila na permanent construction. bila shaka hilo eneo ni pasua ambapo huwa hiyo sehemu ikinyesha tu hakuna mawasiliano tena kati ya bumbuli na soni. Mimi binafsi siwezi mlaumu sana huyu jamaa kwakuwa mpaka sasa ninavyoongea bado amekaa miaka michache sana na kajitahidi kufanya mazuri kiasi chake. amethubutu tumpe muda kwakuwa alichokifanya for 4yrs naweza sema chafanana na alichofanya SHELUKINDO for 15yrs.
 
Last edited by a moderator:
Makamba bado mtoto mdogo kuna mambo bado anajifunza, suala la Urais ni kubwa mno wake hawezi.
 
NOT FOUND habari mkuu wangu? kwanza ni kupongeze kwa kutu update hali ya miundombinu ya jimbo letu la Bumbuli na pia nakupongeza kwa kuguswa na hali hiyo ya kusikitisha. Lakini naomba nikukumbushe kuwa hiyo balbala kwa muda mrefu sana tangu kipindi cha mh SHELUKINDO imekuwa mbovu sana na muda mwingi imekuwa inarekebishwa tu bila na permanent construction. bila shaka hilo eneo ni pasua ambapo huwa hiyo sehemu ikinyesha tu hakuna mawasiliano tena kati ya bumbuli na soni. Mimi binafsi siwezi mlaumu sana huyu jamaa kwakuwa mpaka sasa ninavyoongea bado amekaa miaka michache sana na kajitahidi kufanya mazuri kiasi chake. amethubutu tumpe muda kwakuwa alichokifanya for 4yrs naweza sema chafanana na alichofanya SHELUKINDO for 15yrs.
Mkuu CHAMVIGA
Unaweza kunitajia hayo mazuri ambayo January amefanya japo kwa ufupi?
 
Last edited by a moderator:
Hapa sio sehemu ya kukatia viuno

Mwambie ukumbi wa mauno siku hizi upo Dodoma na akaungane nao..



mduara-bungeni.jpg
 
1. bumbuli haikuwa halmashauri kabla ya kuingia January na sasa ni halmashauri na unajua ni kiasi gani sehemu inapokuwa na halmashauri watu wanafaidika. Walimu ilikuwa ni vurugu kila mara kukimbilia Lushoto mjini wanapokuwa na matatizo lakini sasa hivi mambo yote ni BUMBULI.
2 Kuna ATM machine inaaa anzishwa palepale kwahiyo adha ya kukimbia hadi Lushoto itapungua.
3.Amewasaididia vijana wengi kukosoma kwa kupitia mfuko wa jimbo.
4. Amekuwa mhamasishaji mzuri katika mabmo ya elimu kwa walimu na wanafunzi.
5. Barabara ya soni Bumbuli ipo ktk kiwango kizuri sana ispokuwa sehemu ndogo tu ya kutoka Kwehangala hadi kibaoni na hiyo sehemu ya pasua na tatizo kubwa pale pasua ni molamu iliotumika.
6. Bado yupo katika harakati za kufugua kiwanda cha Mponde ambacho SHELUKINDO kwa dhulma kabisa akiwa ameungana na mwekezaji wanawakomoa wananchi wa mponde.
7. Kuna BDC ambayo inahusika sana na maendeleo ya jimbo la BUMBULI.

HAYO NI BAADHI TU.
 
Mkuu nngu007
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:

Tatizo lenu ni hilo la kutaka kumtia makosa Makamba kana kwamba lile jimbo lina miaka 25.
Kwann hukueka zuri alilofanya kuhusu barabara then ndio umkosoe ?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND
mkuu toa uthibitisho kuwa hili jimbo lina miaka 15 tu,
 
Yaani hili ni JIMBO JIPYA halina hata MIAKA 15; Lilianzishwa na Mzee Shelukindo; Sasa unataka liwe na kila kitu sababu tu MAKAMBA ni MBUNGE?

What a JOKE... inaonyesha ni baadhi ya sisi wananchi ndio tumechoka hatujui Maendeleo ni nini



c.c NOT FOUND

tanzania ina lundo la wachovu! wewe miaka 15 ni michache?
 
Mkuu nngu007
Sitaki kuamini kama uwezo wako wa kufikiria umefikia hapo, wewe unavyoona hiyo bara bara huoni kunahitajika kitu kifanyike? So kigezo chako ni miaka 15, real? :sad:
Kama wa Bumbuli mnaseme hivyo wa Lindi Kibiti road watasemaje.....?
 
Tanzania imepata uhuru lini?

Uhuru wa vitendo bado haijaupata? Upo Uhuru wa Bendera tu, kwani Bado Nchi inaendeshwa kwa kutegemea Misaada toka Nje, Barua za TRA,mahakamani, na Barua za kuomba kazi maofisini bado ni lazima ziandikwe kwa Kingereza, Kiswahili bado ni Lugha ya majaribio , Wazungu,wachina, na hata wahindi bado ni wakoloni kwa Staili ya Kijanja zaidi ( Ukoloni Digtal ) Nchi haina Uhuru kamili.
 
Back
Top Bottom