Wanaume bwana!! Mmmmmm!!! Sababu 1. alihisi/ na bado anaendelea kuhisi mtoto huyo si wake! Alafu km kulikuwa na mvutano baina yao ameamua kwa makusudi kufanya hivyo. ( mama itabidi afunguke vizuri)
2. sababu za kishirikina ( apnde cheo, apendwe na watu na wamteyemekee km Mh
Magufuli nk.. I...
Upopo una raha saaaana!!!Dawa ya mama mkwe ni vitenge tuuu akija Kurembea uau kutibiwa mpe kuku samaki na nyama tuu( akifika kwake km ana gubu anaanza kuwaambia watu kuwa mkwewe kamuachia njaa wao wanakula kuku tuu wakati Yy wanakula maharage na njegere) ! Na mwezi usiishe km mwanae yupo vizuri...
Upopo una raha saaaana!!!Dawa ya mama mkwe ni vitenge tuuu! Na mwezi usiishe km mwanae yupo vxr ampe hata ya bili ya maziwa.. Japo hawariziki!! Oiiiii!!!!iyaaaaaa!!!!!????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.