Muuguzi akamatwa na dawa za serikali Shinyanga

Muuguzi akamatwa na dawa za serikali Shinyanga

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,766
Wakuu, nikiwa na tune radio yangu nimekutana na hii habari toka RFA. Muuguzi huyu amekamatwa na wananchi wakati akiwa ametoka hospitali na makopo ya dawa (kopo moja la paracetamol mengine sikusikia ). Ilichonishitua ni kauli ya muuguzi huyo kutamba eti si ninyi mlimchagua Magufuli!? Akiwaambia wananchi.

Mpaka sasa yupo polisi na uchunguzi unaendelea. Daktari mkuu amethibitisha kutokea tukio hilo na kwamba uchunguzi wa awali unaonyesha batch number ni za dawa za hospitali hiyo. Bahati mbaya nimesikia habari hii hatua za mwisho wananchi wakihojiwa hivyo baadhi ya info zinakosekana.
 
Huyo wamfi?? mpaka atoe nnya ...ataibaje dawa wakati wagonjwa wanateseka kwa kukosa dawa.
 
Wakamatwe tuu maana hakuna namna sasa,wameambiwa waache tabia wa kuiba dawa za Serikali hasiki mpuuzi na mpumbavu kabisa huyo.
 
Yaani wananchi wamepata nguvu ajabu. Long live our president
 
Itabidi afukuzwe kazi au asimamishwe kupisha uchunguzi!! Hapa kazi tu.. Wizi peleka.........!!
 
Itabidi afukuzwe kazi au asimamishwe kupisha uchunguzi!! Hapa kazi tu.. Wizi peleka.........!!
Hili ndio tunatakiwa kufanya kama wananchi,ukienda dukani, ukauziwa dawa yenye nembo ya MSD, tut taarifa vyombo husika ili mhusika akamatwe. Hii itapunguza wizi maana na wanunuzi watakosekana, na pia serikali iwafukuze kazi maramoja watumishi watakaopatikana na hatia ya kuiba dawa za serikali.
 
Back
Top Bottom