Recent content by Nominee

  1. Nominee

    Chasambi amuombe msamaha Manara kwa kumuita mzungu

    Manara na ualbino wake akae kwa kutulia.Ningekuwa mimi ndo Chasambi nisingemuita mzungu.Ningemuita zeruzeru.
  2. Nominee

    Mimi na mapito yangu, mimi na imani mpya ya Uislam

    Pole sana Mkuu kwa changamoto ulizokumbana nazo.Nimeanza kukufahamu wewe kwenye mambo ya simulizi.Hongera kwa kuchagua upande unaoona utakupa amani.Allah akupe ustahimilivu kwa yote uliyopitia.Nami nikijaaliwa nitachangia chochote kitu inshallah
  3. Nominee

    Wakuu wa majeshi wa nchi zinazounda Umoja wa Sahel (AES) wakutana nchini Niger

    Hizi chuki zote ni kwa sababu waislamu walikataa kukukuna kinyeo chako au kuna jingine?
  4. Nominee

    Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    Usimshauri mwenzako kufanya huu ujinga.Atauliwa vibaya sana.Huwezi kumgonga waifu wangu alafu unaenda polisi kunishitaki eti nakutishia maisha.Nitakuua wewe na huyo hakimu wako.
  5. Nominee

    Kuna nchi hawapendi kabisa wageni

    Inabidi tufanye utafiti kuhusu "Uhusiano uliopo kati ya ukibonge/obesity na upungufu wa akili".Labda nitapunguza kukudharau.
  6. Nominee

    Wenye akili kubwa wanajua kuwa CHADEMA ndio anapiga penalti ya mwisho

    Mke wa muheshiwa wembo,usiku wote huu unafanya nini Jamiiforums?
  7. Nominee

    Umebahatika kukanyaga ardhi za mikoa mingapi hapa Tanzania?

    Dodoma Iringa Njombe Dareslam Ruvuma Mwanza Simiyu Kigoma Singida Geita Tabora Shinyanga Kagera Morogoro Pwani Natamani nifike Arushq,kilimanjaro na Zanzibar.
  8. Nominee

    FT: Jwaneng Galaxy 0 - 0 Simba | CAFCL | Francistown Stadium | 02.12.2023

    Naona umewahi seat ya kuanzisha uzi.#SimbaNguvuMoja
  9. Nominee

    Basi Kampuni ya Baraka kutoka Newala - Dar lapata ajali na kusababisha vifo 14

    Hahahahaha,naona umeamua kuendana na ujinga wake
  10. Nominee

    Hivi kwanini mtu akikataliwa ombi la kuwa wapenzi huwa anakata mawasiliano na yule muhusika?

    Ni kweli wewe sio bin'adam uliekamilika.Huwezi kumuwekea virus mtu kwenye laptop yake eti kisa alikukataa.Una ushamba mwingi.Una gubu na chuki kama demu vile.
  11. Nominee

    Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

    Huku mtaani ni burudani.Kelele zimepungua
  12. Nominee

    Wazee tusiuze mechi mimi leo Nimeanza kutibu Gonorrhea

    Nipe elimu mkuu.Unajuaje kwa kumuangalia?
Back
Top Bottom