Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Hakika HUKUMU ya leo kwa Wenye Akili kubwa wanajua kuwa CHADEMA ndio Anapiga Penalt ya Mwisho huku Halima Mdee na Genge Lake wamepiga zote 5
Ila wenye Akili ndogo wanadhani Mchezo umeisha Halima na Genge Lake Wameshinda.Uamuzi wa leo Unaitaka Chadema iitishe Baraza Kuu bila uwepo wa Wajumbe wa Kamati kuu ili mradi Akidi ya WAJUMBE wa Baraza Kuu itimie iwaite Tena HALIMA na Genge Lake iwasikilize Kama takwa la haki ya kusikilizwa kisha IPIGE PENALT yake ya Ushindi
Kufanya hivyo Chama kitajijengea Heshima kwa kutowavumilia WASALITI ndani ya CHADEMA.
Ila wenye Akili ndogo wanadhani Mchezo umeisha Halima na Genge Lake Wameshinda.Uamuzi wa leo Unaitaka Chadema iitishe Baraza Kuu bila uwepo wa Wajumbe wa Kamati kuu ili mradi Akidi ya WAJUMBE wa Baraza Kuu itimie iwaite Tena HALIMA na Genge Lake iwasikilize Kama takwa la haki ya kusikilizwa kisha IPIGE PENALT yake ya Ushindi
Kufanya hivyo Chama kitajijengea Heshima kwa kutowavumilia WASALITI ndani ya CHADEMA.