Hadithi za Abunuas zinaelekea kupata mashiko nchini Tanzania. Ng'ombe kumnyonyesha sunguru. Suala la walimu wenye saikolojia na misingi ya sekondari sasa kulazimishwa kufundisha shule ya msingi. Najiuliza, hao waliotoa maamuz hayo wamesoma ktk vyuo gani? Walifuzu ama walihitimu? Cna Shaka...
cku hizi ukimsikia mtu hususan kiongoz anamtaja sana mungu ujue ni fisadi na ni mtu asiyejali matatizo ya wengine. naye atahukumiwa tu. mtumishi Wa umma cku hiz amekuwa mtumwa.
uhamisho haupo, hayo ndio madhara ya kumchagua mfalme asiye jali watumish wake. hiv hajiuliz kwa nn watu wanaomba uhamisho? shida za watu hazijui? kwa nn anahukumu wenzake? malipo hapahapa duniani.
mwaka huu kama wataajiri walimu was arts ni kwa ajiri ya kufurahisha umma. Ajira za walimu was arts zitatolewa 2019 kama njia mojawapo ya kuomba kura. na walimu haohao wanaolia Leo ndio watakao toa kura zao
suala la mikopo halina tija kwa watu ambao hawaajirili ktk fan zingine ukiachana na ualimu wanalipaje mikopo? kwa kifupi serikali inadanganya umma na haitaki kusema kweli juu ya ajiri kama ilivokuwa miaka ya nyuma
Aliyeshiba hamjui mwenye njaaa, huwa najiuliza maswali lakini sipat jibu, hiv viongoz wenye mamlaka ya kutoa ajira wao hawakuajiriwa? uhakiki ambao hauna kikomo ni mpango ulioletwa na nani tz? kama hajira hazipo kwa nini wasiseme tukajua? kama serkal haina pesa kwa nn wasiseme tukae tunajua?
Ni kitendawili kisichoteguka juu ya suala la uhamisho tangu msukuma akalie kiti. watumishi wanakufa kutokana na kuwa mbali na huduma, mfano wagonjwa. familia kusambaratika, wagonjwa kukosa huduma kutoka kwa watoto, maambukiz ya magonjwa kuongezeka, watu wanateseka na hali ya hewa (allergies) Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.