nombo toby
Member
- Aug 9, 2016
- 47
- 41
cku hizi ukimsikia mtu hususan kiongoz anamtaja sana mungu ujue ni fisadi na ni mtu asiyejali matatizo ya wengine. naye atahukumiwa tu. mtumishi Wa umma cku hiz amekuwa mtumwa.
ww kijana kumbe tangu 2015 hujaajiriwa tuHivi hii ni haki wahitimu kukaa mwaka mzima mtaani? Hadi content zinapotea. Ni bora uwepo utaratibu wa kuwaajiri hawa walimu hata mwezi wa kwanza wa kila mwaka, walau wawe mtaani kwa miezi mitano. Inawatosha kuwapa nidhamu ya kukubali popote watakapopangiwa vituo vya kazi hata kama ni kijijini wataenda.