Recent content by NOKIALUMIA

  1. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

    Baada ya kulalamika betika wamenilipa
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

    Ahsante mkuu tukutane kwa wakala [emoji2][emoji16][emoji2][emoji2] Kesho Sijui nikuambie ukweli [emoji16][emoji16] Betting ni mbaya na nzuri pia
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

    Ni kweli bhna kamali ni dhambi [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Hio ni account yangu ya sport pesa
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

    We ushatoboa??
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya betika ni halali kweli au matapeli?

    Ndugu zangu, hasa wale wanacheza michezo ya kubahatisha, kampuni hii ya Betika ni matapeli lakini Bodi ya Bahati Nasibu bado ina wacheki tu. 1. Kampuni inaruhusu kudeposit tu! Hata milioni we deposit ila kutoa hela hairuhusu hata siku moja. 2. Hairuhusu withdraw yoyote ile hivyo ukiweka fedha...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Nichague ipi kati ya Mazda Demio na Honda Tit

    Usitafute yoyote kati ya hizo
  7. N

    JamiiForums Tanzania Uwezekano wa kubambikiziwa kesi

    Je unaweza kuwashtak askari walikubambikizia kesi. Kwa makusudi.?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Magari gani ya kununua nyakati hizi kwa kijana?

    Nunua spacio yenye engine 1490cc
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nikimuacha nitakuwa nakosea?

    Uchoyo Uchoyo hapo hujaolewa
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umewahi fanya tendo la ndoa na watu zaidi ya watatu? Hiki ndicho kinakuotea

    Kwa hiyo? Nchi NZIMA tutumie akili yako [emoji23][emoji23]
  11. N

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Hahahaha hahahah aha
  12. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, Tanzania ni moja na hakuna mpasuko wowote. Tupo wamoja sana

    Hii nyuzi kaandika mtu mwenye IQ ndogo saana
  13. N

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya kondomu na maudhi yake

    Hadi 15000 zipo tatu
  14. N

    JamiiForums Tanzania Nimepata uvimbe sehemu ya haja kubwa. Napata maumivu makali nikitembea

    Pole sana. Ugonjwa huu ni wa kawaida sana,(bawasiri) huo uvimbe unaouona ni kujaaa kwa damu kwenye mishipa iliyolegea.. Njia moja ya matibabu ni hizo dawa ulizopewa zina julikana kama hemorrhoids suppositories. Nadhani ulielekezwa at least kila siku ukae kwenye maji ya vuguvgu kwenye dish walau...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta hizi bahasha au kwa mtu anaejua kufanya customization

    Kama tittle ilivyo nahitaji BAHASHA kama hii kwenye attachmenti NB: hii ni sample tu. Nahitaji isiyo na maneno ya msd. Nahitaji mtu anaweza kufanya. Printing ya hii kitu
Back
Top Bottom