Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,851
- 19,749
Mama kama mama....Magu alipoingia ofisini siku 50 za mwanzo tulikuwa tumeshapata picha ya nini anataka. Mama bado anasubiri zifike 100.
Mbona inajulikana anachotaka ^pleaser of all groups, implementer of none^