Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,191
- 46,234
So mkuu unapekuwa tu na yeyote au?Jambo hapo ni kupekua tu mzee ila kikubwa kusiwe na miiba mkuu
So mkuu unapekuwa tu na yeyote au?Jambo hapo ni kupekua tu mzee ila kikubwa kusiwe na miiba mkuu
Kwamba utamu unabaki ule ule hata ukivaa ndomu?sometimes ni aina tu ya wanawake unaokutana nao. Amini mzee kuna wadada wapoje sijui hadi leo sielew yani mwendo ni uleule nivae au nisivae ndomu, wewe fanya uchunguzi I mean kama naenda dk 20 bila ndom hata nikivaa sizidish
Mkuu kinachokufurahisha wewe hakiwi sababu ya kunifurahisha na mm bosssometimes ni aina tu ya wanawake unaokutana nao. Amini mzee kuna wadada wapoje sijui hadi leo sielew yani mwendo ni uleule nivae au nisivae ndomu, wewe fanya uchunguzi I mean kama naenda dk 20 bila ndom hata nikivaa sizidish
Asilimia chache sana unapungua . Baadhi yao kama nilivyosemaKwamba utamu unabaki ule ule hata ukivaa ndomu?
Aisee ila ni kweli tunatofautiana.Mkuu kinachokufurahisha wewe hakiwi sababu ya kunifurahisha na mm boss
Ndomu nimejaribu sana haipandi kabisa na sio swala la ushabiki
Hapana mkuu nimekuambia swala ni kuangalia wap pa kupita pasipo na miiba (sehemu unayoamini ni salama kwako)So mkuu unapekuwa tu na yeyote au?
KabisaKiukweli kwenye enjoyment condom kidogo ina tofauti, huwezi kuenjoy kula pipi na ganda lake ni lazima ganda litolewe ndiyo usikie radha halisi hivo si wanaume tu ambao hawasikii ile ladha halisi hata sisi wadada tunakua hatuufeel ule mti nyama wenyewe og sababu ya condom.
Ila sasa hiyo ndiyo njia madhubuti ya kujikinga na maradhi na unplanned pregnancies na haina lawama. Je tusitumie condoms tukaenjoy tendo kwa muda huo then the rest of life tukajutia ama tutumie ili na kesho tuendelee kuishi bila majuto. Heri nusu shari kuliko shari kamili.kumeza dawa kila siku siyo poa, Tutumie condoms ,ama tubaki njia kuu na tuhakikishiane tunakuwa waamnifu kwa wapenzi wetu, je tutaweza hasa wanaume mnaweza bila kuwa na vitamaa tamaa huko pembeni?
Hiz condom za gharama zinauzwa pesa ngapi..?Unatumia kondomu za MSD nini? Tafuta hela ununue condom za gharama achana na condom za packet 500
Itafkamahala tutaweza tu maana hya maudhi ya kondomu ni balaaa bora nibak njia kuu labda kwa mwenzanguKiukweli kwenye enjoyment condom kidogo ina tofauti, huwezi kuenjoy kula pipi na ganda lake ni lazima ganda litolewe ndiyo usikie radha halisi hivo si wanaume tu ambao hawasikii ile ladha halisi hata sisi wadada tunakua hatuufeel ule mti nyama wenyewe og sababu ya condom.
Ila sasa hiyo ndiyo njia madhubuti ya kujikinga na maradhi na unplanned pregnancies na haina lawama. Je tusitumie condoms tukaenjoy tendo kwa muda huo then the rest of life tukajutia ama tutumie ili na kesho tuendelee kuishi bila majuto. Heri nusu shari kuliko shari kamili.kumeza dawa kila siku siyo poa, Tutumie condoms ,ama tubaki njia kuu na tuhakikishiane tunakuwa waamnifu kwa wapenzi wetu, je tutaweza hasa wanaume mnaweza bila kuwa na vitamaa tamaa huko pembeni?
Hadi 15000 zipo tatuHiz condom za gharama zinauzwa pesa ngapi..?
Kuna wadada hawataki ndomu kumbe hii inaweza kuwa ndo sababu..kumbe na nyie utamu unapungua?..Kiukweli kwenye enjoyment condom kidogo ina tofauti, huwezi kuenjoy kula pipi na ganda lake ni lazima ganda litolewe ndiyo usikie radha halisi hivo si wanaume tu ambao hawasikii ile ladha halisi hata sisi wadada tunakua hatuufeel ule mti nyama wenyewe og sababu ya condom.
Ila sasa hiyo ndiyo njia madhubuti ya kujikinga na maradhi na unplanned pregnancies na haina lawama. Je tusitumie condoms tukaenjoy tendo kwa muda huo then the rest of life tukajutia ama tutumie ili na kesho tuendelee kuishi bila majuto. Heri nusu shari kuliko shari kamili.kumeza dawa kila siku siyo poa, Tutumie condoms ,ama tubaki njia kuu na tuhakikishiane tunakuwa waamnifu kwa wapenzi wetu, je tutaweza hasa wanaume mnaweza bila kuwa na vitamaa tamaa huko pembeni?
Hadi 15000 zipo tatu
Utamu hauwezi kuwa sawa ikiwa mti nyama upo kwenye kifungashio (condom) mkuu, raha ni uufeel ukiwa og 😉Kuna wadada hawataki ndomu kumbe hii inaweza kuwa ndo sababu..kumbe na nyie utamu unapungua?..
Utamu tunaupenda na kuishi kwa afya njema tunapenda...Daah tuwe tu makini ndomu zitumike kwa usahihi hadi pale mtu atakapobaki njia kuu na mtu sahihi.Utamu hauwezi kuwa sawa ikiwa mti nyama upo kwenye kifungashio (condom) mkuu, raha ni uufeel ukiwa og
Inawezekana wote tukijitoa kulinda afya zetu na za wenzi wetu, wanasema "ukimpenda utamlinda" basi tulindane kweliItafkamahala tutaweza tu maana hya maudhi ya kondomu ni balaaa bora nibak njia kuu labda kwa mwenzangu
Na maharagwe ya nazi je¿ 😬Kimsingi ni kuwa hatuwezi kuenjoy sex kwa kugegeda mtu ambaye hutumwamini..ni bora kutulia na mmoja na mkapima huku mmewekeana nadhiri kali kabisa.
Kula mbaazi daily sio poa kabisa.
Ni kweli tutumie tu maana kumeza dawa kila siku na kuishi na hiyo status(+ve) pia changamoto. Huwa tunafarijiana HIV kama malaria tu mmh usiombe likupate.Utamu tunaupenda na kuishi kwa afya njema tunapenda...Daah tuwe tu makini ndomu zitumike kwa usahihi hadi pale mtu atakapobaki njia kuu na mtu sahihi.
Change your mindsetWadau kwa nini ukitumia kondomu, ukipiga bao la kwanza huwa jamaa anakufa tena huenda usipate kabsa hamu ya kurudia tena, nini kinasababisha, najua wahanga tuko wengi.