Recent content by Nojo Wemah

  1. Nojo Wemah

    Sisu ni moja Movie Bora 2023

    Kizuri kizuri tu Movie ni kali Kama utakuwa unakosoa movie kwa mtindo huo basi movie zote ni mbaya. Kwanza unatakiwa ujue maana ya "SISU" alafu uelewe story vizuri. Aatam ni commando mstaafu alipigana vita miaka ya nyuma na alipoteza familia yake. Ogopa kupambana na mtu asiye na cha kupoteza ni...
  2. Nojo Wemah

    Tusidanganyane, hakuna dawa ya kudumu ya jino bovu! Usiku wa leo nusura nilale uvunguni

    Aisee na mimi jino linauma sasa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Nojo Wemah

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ulitendee vyema hilo jogoo ili liwe na nyama nyingi ambayo haitakuwa na steampunk Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Nojo Wemah

    Mke wangu ana mahusiano na dereva wa bodaboda, mbaya zaidi anamuhonga pesa zetu za akiba

    Tatizo ulioa Mtoto, wakati unamuoa alikuwa hajakomaa kiakili sasa hakuwahi kupata vishawishi na kujua kuviepuka. Sasa kaona aonje na kwingine asikie test ikoje. Nakushauri kwa kuwa ndio Mara ya kwanza umemkuta na kosa hilo msamehe, ishini pamoja na hakika atajutia na hatorudia na pia hio...
  5. Nojo Wemah

    Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

    Wee kataa usikatae ila Jua kabisa Kuwa Huu sasa ni wakati wa The monster kuja kuchukua universal championship
  6. Nojo Wemah

    Nafuga Paka, nisaidieni......

    Anaitwa Maui, nilimchukua akiwa mdogo kabisaa. Kwa kipindi cha ukuaji hapo nyuma kulikuwa na watoto wa jirani walikuwa wakicheza nae na mda mwingine walikuwa wakicheza nae vibaya kwa kumpiga hali hiyo imemfanya Maui kuwa mkorofi hasa akiwa na njaa. Kuna wakati mwingine bila sababu tu anaweza...
  7. Nojo Wemah

    Hili jina lilishaingiliwaga na pepo la ngono tokea enzi na enzi.

    Hata akina Jesca, wanashughulika balaa, kwenye 6*6 sio mchezo
  8. Nojo Wemah

    Rafiki yake ameniambia atanipa baada ya yeye kunizungusha

    Kuwa na Subiri?? Wee mda wote ni kusubiri tuu hadi lini, tena yawezekana huyo mnyaruanda kuna mtu anambandua. Kajimegee mzee baba
  9. Nojo Wemah

    Msaada: Tecno Boom J8 application zote hazifanyi kazi

    Sa hapo si kila kitu kinafytika?
  10. Nojo Wemah

    Msaada: Tecno Boom J8 application zote hazifanyi kazi

    Jamani nisaidieni, simu yangu inazingua application zote hazifanyi kazi. Kika nitakayofungua inaniandikia "unfortunately ***** stoped. Nifanye nini ili ikae sawa!??
  11. Nojo Wemah

    Urembo wa nywele, mitindo mbalimbali ya kusuka na kunyoa

    Habarini za wakati huu nipo hapa kuhitaji msada katika hili, mie ni kijana wa kiume, nina nywele kiasi chake na nywele zangu hizi sitaki kuzinyoa mbaya zaidi nikizichana zinauma balaa na kuzinyoa staki kabisa sijui nini cha kufanya ili zionekane na mvuto kichwani.
  12. Nojo Wemah

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mimi huku mgeni, mbona coment zote zina like5 tu au ndo kikomo cha likes huku jf? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom