Nojo Wemah
Member
- Aug 9, 2017
- 21
- 19
Jamani nisaidieni, simu yangu inazingua application zote hazifanyi kazi. Kika nitakayofungua inaniandikia "unfortunately ***** stoped.
Nifanye nini ili ikae sawa!??
Nifanye nini ili ikae sawa!??
Sa hapo si kila kitu kinafytika?Restore factory settings
Sasa Daah nn [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Daah
Nipigie hpa 0753093869 ukiwa na 10000 tutasolve bila kufutika chochoteJamani nisaidieni, simu yangu inazingua application zote hazifanyi kazi. Kika nitakayofungua inaniandikia "unfortunately ***** stoped.
Nifanye nini ili ikae sawa!??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] *****Nipigie hpa 0753093869 ukiwa na 10000 tutasolve bila kufutika chochote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TECNO ni vimeo sana, uza hiyo simu tu ununue brand nyingine
Never ever trust TECNO again
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] *****
Nenda settings>>> Language & input >>> pointer speed...then Ongeza weka hadi mwisho. Itakua afadhali kidogo.Nina boom j8 nmeichukua kwa mtu, touch yake hadi had utumie nguvu kidogo.
Kwa anayejua msaada tafadhali maana hadi naona ivivu kuchati