Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mkuu alituahidi hatotuangusha.mbona mimi naona tumeshaanguka tena tumeangukia pua na pumzi zinaenda kukata au ni ule msemo wa wahenga kwamba baada ya dhiki faraja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.