babe S
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 3,879
- 20,853
Mkuu unakaa wapi!? Mbona hiyo bei yako ya sukari kubwa sana!? Na unga umeshaanza kushuka bei..Sukari imefika 3200 na unga wa mahindi 2200, where are we going????? Masikini wanaendelea kuwa masikini zaidi, na washangiliaji nao wanajitahidi kumshangilia kwa kila jambo.