Recent content by Noel kabigi

  1. N

    Je, Muislam akila nguruwe ni kipi anapaswa kufanya? Nini adhabu yake kwa Mwenyezi Mungu?

    Ukweli haina tatizo kabla ya hiyo dini babu zako walifuga
  2. N

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kwangu mimi ni kelo tunayopata wakazi gongo la mboto kata ya ulongoni A ni jambo la ajabu kila ifikapo saa mbili usiku umeme unakatika bila sababu maalumu as if mitambo huwa Inapumzishwa suala la nishati ya umeme ni nyeti sana katika Suala la maendeleo ni miaka 3 iliyopita China...
  3. N

    Gongo la mboto na vitongoji vyake limekuwa ni jambo la kawaida kila ifikapo saa mbili usiku umeme unakatika

    Sisi wakazi wa gongo la mboto na vitongoji vyake limekuwa ni jambo la kawaida kila ifikapo saa mbili usiku umeme unakatika bila sababu maalumu as if mitambo huwa Inapumzishwa suala la nishati ya umeme ni nyeti sana katika Suala la maendeleo, hivi majuzi China walisheherekea...
  4. N

    Tunaodate na wanaume ambao hawajatusua bado

    Wewe bado hujampenda mwenzio na inaonyesha bado unaangalia upande wa walio tusua
  5. N

    Saidi Maulid Mtulia atangaza kugombea tena jimbo lake la Kinondoni kwa tiketi ya CCM

    Tatizo hawana uchungu na hela ya watanzania si wote Walio piga kura walikuwa wana cuf watu walikuhitaji uwatumikie baada ya kusikia Sera zako viongozi dhaifu hupenda kupongeza msichezee fedha zetu
  6. N

    Vazi la Gadaffi lenye picha ya viongozi mashuhuri wa Africa ,umeona picha ya kiongozi gani hapo ?

    Haitatokea viongozi waliokuwa wanalipenda bara letu zuri kama gaddafi kama shujaa atakaye jitokeza kwa Sasa aje na wazo la kuanzisha cku ya kumuenzi
  7. N

    Wito kwa Serikali: Kama ilivyo Mwenge, Hatuhitaji kampeni ya Uzalendo na Utaifa

    Mtanzania ni mwana siasa toka nursery mpaka chuo kikuu
  8. N

    Haitakuwa busara kuiuza au kuivunja Ikulu ya Dar es Salaam

    Tuna tabia ya kunyea kambi
  9. N

    David Kafulila ajivua uanachama CHADEMA. Apoteza imani na upinzani katika kupambana na ufisadi

    Hapo kafulila hajausaliti upinzani ukiisoma vizuri barua yake ameandika upinzani sio sehemu salama ktk kupambana kwenye siasa za bongo means that hataki kuwa karibisha wasio julikana
  10. N

    Meli ya wachina yaibua Matapeli

    Jamani hivi utofauti upo wapi Kati ya utawala wa Vatican na ule wa italy
Back
Top Bottom