Chris14
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 3,076
- 2,177
Hujawahi kugegedwa mkuu?Asante mkuu, ila pia nshawahi kugegeda mkuu ila, kwa kukificha,
Ila pia hii nyingne nayo ina genye mkuu
Hujawahi kugegedwa mkuu?Asante mkuu, ila pia nshawahi kugegeda mkuu ila, kwa kukificha,
Ila pia hii nyingne nayo ina genye mkuu
We mkuu umenichekesha sana na hii comment yakoHivi ukiwa na jinsia mbili na zote ziko active unaweza ukajitia mimba, yaani kama vile unapiga chaputa then unachukua shahawa unaziweka upande wa pili at the end of the day u become a mother and a father of your own kid.
Kwanza nshawah kugegeda kibish hii ya upand huu inakua dormant mda huo,
Kimaumbile sina mapumbu mkuu. Kwa chini ndo k ilipojitega.
Usemi wako unaonyesha ww ni boyAsante mkuu, ila pia nshawahi kugegeda mkuu ila, kwa kukificha,
Ila pia hii nyingne nayo ina genye mkuu
Kwa hali yake hawezi kuwa mwenye furaha nchi hii!Mungu angemsaidia akaishi Marekani ama Ulaya.Kwa tabia ya waafrika ni wabaguzi wa hali ya juu sana na huenda wengi wakamtukana na kumlaumu kwa nini yuko hivyo bila kujua ni ajali za kibiolojia.Ukizaliwa Tanzania na matatizo kama hayo na yanayofanana na hayo,ni kama adhabu nzito utakayobeba wewe na familia yako.Hata akizaa,watoto watadhihakiwa sana.Ila Mungu amtie nguvu tu maana ni mtihani mkubwa sanaMleta mada anaomba ushauri wa jinsia ipi aichague ili ajisikie huru na mwenye furaha
Sounds like a proposal to meunaona nini aibu kama sauti yako ni nyororo na una nyonyo! Hudhani kama wakipunguza tu hiyo ndude hawatakuharibu sana maumbile kuliko kuziba hiyo ya pili na kubaki na changamoto ya nyonyo? Usipenda kuoa alafu ukawa wewe ndo mke bora uolewe tu mkuu..please!
Nenda hospital ya ikonda wilaya ya makete kuna huduma hiyo inatolewa. Wewe ni jinsi ya ke hiyo me si halisi kwako. Ila tabia mojawapo lazima unapokuwa ktk mapenzi unapofika kitonga wewe lazima na hilo liumbile la kiume litapike but not able to fertilize anything. Ni maumbile tu huna kasoro ya ajabu sana. Kama mwanaume akiishi kwa kukuvumilia hakuna tatizo.Hamjambo wana jf,
Mimi ni mgeni kidogo hapa na nina jambo la mda mrefu linanisumbua.
Hadi sasa hivi sielewi niamue nini.
Kibayolojia nina jinsia mbili.
Ila phenotype (kimtazamo) ni kama mwanaume kidogo.
Napenda kuwa mwanaume ila sauti yangu nyororo.
Nina dinda pia naona siku zangu.
Nna dunja (maziwa)
Kidogo.
Siku naona kamakawaida.
Naogopa sana kujulikana,
Naomba msaada wapenzi.