Noel kabigi
Member
- Oct 15, 2017
- 16
- 8
Haitatokea viongozi waliokuwa wanalipenda bara letu zuri kama gaddafi kama shujaa atakaye jitokeza kwa Sasa aje na wazo la kuanzisha cku ya kumuenzi
Sio kweli kama alitaka muisilimisha afrika nzimaHuyu bwana alikuwa vizuri kwa uzalendo. Tatizo tu ni pale alipotaka kuifanya Afrika nzima kuwa chini ya imani moja!!!!!
Duh! Kumbe Gadaffi pia ni CHADEMA!!!Gadaffi alikuwa anapenda kuvalia shati lenye picha ya viongozi waliopigania Uhuru "Pan Africanism"
Nataka kuwajua mabingwa wa historia umeona picha za viongozi gani kwenye vazi hilo ,ukiwataja wote itakuwa vizuri zaidi na maksi utapata nyingi
Faza JGadaffi alikuwa anapenda kuvalia shati lenye picha ya viongozi waliopigania Uhuru "Pan Africanism"
Nataka kuwajua mabingwa wa historia umeona picha za viongozi gani kwenye vazi hilo ,ukiwataja wote itakuwa vizuri zaidi na maksi utapata nyingi
Hukumbuki ndiye aliyetaka tupigwe na Iddi Amin dada???Aibu yetu hata kusema kwa maneno tu Ghadaf asiuwawe tulishindwa