tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Hongera sana kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya na Songwe kwa kuwafanya madreva wote kutii na kufuata alama za barabarani aiseeeee.....Huwezi amini kama kweli hapa ni Tanzania kwa jinsi tunavyoona Dar es salaam na mikoa mingine.
Kitu ambacho nakiona ni kitendo cha madreva wote wa magari madogo na makubwa kusimama katika eneo lenye alama ya kivuko cha miguu hata kama hakuna anayevuka kwa wakati huo.Dreva anasimama kama sekunde 2 au 3 then anaendelea na safari yake.
Hakika kwa hilo nawapongeza sana trafic wa hiyo miko miwili kwa kuwafanya madreva kutii sheria bila shuruti.
Mikoa mingine waige mfano huu aisee hakika INAPENDEZA SANA.
Kitu ambacho nakiona ni kitendo cha madreva wote wa magari madogo na makubwa kusimama katika eneo lenye alama ya kivuko cha miguu hata kama hakuna anayevuka kwa wakati huo.Dreva anasimama kama sekunde 2 au 3 then anaendelea na safari yake.
Hakika kwa hilo nawapongeza sana trafic wa hiyo miko miwili kwa kuwafanya madreva kutii sheria bila shuruti.
Mikoa mingine waige mfano huu aisee hakika INAPENDEZA SANA.