Hii ni kwa wachina?Pole sana dada Wastara, Mungu atakuondeshea lililokuwa zito kwako Insha'Allah.View attachment 777654
Mjiandae kuombwa msaadaMgojwa anaweka picha ili iweje?
Labda na yeye ana personalized manager wa account yake. Si unajua "mastaa" tena?Mgojwa anaweka picha ili iweje?
AmenNi kweli huyu dada Mungu amponeshe na amuondolee shida yake