Tunaodate na wanaume ambao hawajatusua bado

Tunaodate na wanaume ambao hawajatusua bado

girlie

Senior Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
170
Reaction score
180
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.

wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia tunaangalia na upande wa pili.

kuna wakati kama mwanamke unapata vishawishi kutoka kwa wanaume wenye pesa zao lakini unapiga moyo konde tu na kusali mana ukimwangalia mwenzako ndo hivo unampenda na kanafsi kanakusuta flani ukiwaza kufanya hivo.

wakati mwingine unakaa na kuwaza mh isije kua nakosa bahati

pia unaweza skia shuhuda za wanaume kibao walokuja kuwatenda wanawake zao baada kupata vijifedha kidogo.

nb: simanishi kwamba ni tegemezi no ila unakuta wote mmechalala maskini ya Mungu hakuna hata wa kumpiga tafu mwenzie

pia kwa mwenye shuhuda aweke hapa, ambae alimvumilia mwanaume wake since hana kitu na wakaend up pamoja as mke na mume hadi leo
 
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.

wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia tunaangalia na upande wa pili.

kuna wakati kama mwanamke unapata vishawishi kutoka kwa wanaume wenye pesa zao lakini unapiga moyo konde tu na kusali mana ukimwangalia mwenzako ndo hivo unampenda na kanafsi kanakusuta flani ukiwaza kufanya hivo.

wakati mwingine unakaa na kuwaza mh isije kua nakosa bahati

pia unaweza skia shuhuda za wanaume kibao walokuja kuwatenda wanawake zao baada kupata vijifedha kidogo.

nb: simanishi kwamba ni tegemezi no ila unakuta wote mmechalala maskini ya Mungu hakuna hata wa kumpiga tafu mwenzie

pia kwa mwenye shuhuda aweke hapa, ambae alimvumilia mwanaume wake since hana kitu na wakaend up pamoja as mke na mume hadi leo
Though wanatakiwa wanawake but let advice you in this way kila chanye advantage kina disadvantage Kuwa tayari na matokeo yoyote usihofu kwa yajayo
 
Mapenzi ya dhati yapo moyoni na wala sio kwenye pesa.

Naomba ubaki na huo msimamo wako, hakika hutojutia hapo baadae..

==================
UPDATES

Nimeamua kufukua makaburi yako nimekuta hii mada Sitongozwi, nini tatizo?

Kwa nini usiwe mkweli?
hahahah watu mpo vyema kwenye ufukunyuku akiamka atujibu

kumbe alikuwa anataka atongozwe!!
 
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.

wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia tunaangalia na upande wa pili.

kuna wakati kama mwanamke unapata vishawishi kutoka kwa wanaume wenye pesa zao lakini unapiga moyo konde tu na kusali mana ukimwangalia mwenzako ndo hivo unampenda na kanafsi kanakusuta flani ukiwaza kufanya hivo.

wakati mwingine unakaa na kuwaza mh isije kua nakosa bahati

pia unaweza skia shuhuda za wanaume kibao walokuja kuwatenda wanawake zao baada kupata vijifedha kidogo.

nb: simanishi kwamba ni tegemezi no ila unakuta wote mmechalala maskini ya Mungu hakuna hata wa kumpiga tafu mwenzie

pia kwa mwenye shuhuda aweke hapa, ambae alimvumilia mwanaume wake since hana kitu na wakaend up pamoja as mke na mume hadi leo
Ushahuda wangu njoo pm maana ile mada yako ya kuwa hautongozi nilikuwa naitafuta kweli leo nimekupata
 
hao unaotembea nao ndio saizi yako binti..wewe kiuno kidogo unataka pensi ya Pepe Kalle??

Eti wanakushawishi..nani akushawishi wewe wakati hufanani na thamani dollar??

Hapo huna kazi wala kujishughulisha na chochote umekaa kama katoinyo ndani unasubiri mwanaume afanikiwe..rubbish kabisa!!

Wanawake kama wewe ni mzigo sana..na mwanaume atakaekuoa wewe hana akili kabisa..!!na ninakuhakikishia jamaa uyo akitusua hawezi oa mwanamke mzigo kama wewe..empty set kabisa
 
Mapenzi ya dhati yapo moyoni na wala sio kwenye pesa.

Naomba ubaki na huo msimamo wako, hakika hutojutia hapo baadae..

==================
UPDATES

Nimeamua kufukua makaburi yako nimekuta hii mada Sitongozwi, nini tatizo?

Kwa nini usiwe mkweli?

Mpekuzi..eeeeh

Sasa si atakuwa ameshaoga maji ya baharini kama alivyoandika.. tangu aandike hayo Aug '17. Now labda atakuwa amekutana na aliyemaliza nae chuo baada na wamekuwa sasa ni wapenzi.. au aliandika zaidi ndani ya uzi wake?
 
Komaa!! Kikubwa muwe na nia ya dhati, mapenzi maana yake halisi ni kukutAnisha vichwa viwili kupambana hali iliyopo!!

Thus why ukifuatilia wazee wako utakuta kila kitu walikipata wakiwa pamoja. Walioana wakiwa hawana kitu, wakapambana wakapata vyao.

Achana na wanaotaka wanaume waliokwisha fanikiwa. Mwisho wake huwa ni mbaya san
 
hao unaotembea nao ndio saizi yako binti..wewe kiuno kidogo unataka pensi ya Pepe Kalle??

Eti wanakushawishi..nani akushawishi wewe wakati hufanani na thamani dollar??

Hapo huna kazi wala kujishughulisha na chochote umekaa kama katoinyo ndani unasubiri mwanaume afanikiwe..rubbish kabisa!!

Wanawake kama wewe ni mzigo sana..na mwanaume atakaekuoa wewe hana akili kabisa..!!na ninakuhakikishia jamaa uyo akitusua hawezi oa mwanamke mzigo kama wewe..empty set kabisa
Duh, jf Kwa kushambulia
 
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.

wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia tunaangalia na upande wa pili.

kuna wakati kama mwanamke unapata vishawishi kutoka kwa wanaume wenye pesa zao lakini unapiga moyo konde tu na kusali mana ukimwangalia mwenzako ndo hivo unampenda na kanafsi kanakusuta flani ukiwaza kufanya hivo.

wakati mwingine unakaa na kuwaza mh isije kua nakosa bahati

pia unaweza skia shuhuda za wanaume kibao walokuja kuwatenda wanawake zao baada kupata vijifedha kidogo.

nb: simanishi kwamba ni tegemezi no ila unakuta wote mmechalala maskini ya Mungu hakuna hata wa kumpiga tafu mwenzie

pia kwa mwenye shuhuda aweke hapa, ambae alimvumilia mwanaume wake since hana kitu na wakaend up pamoja as mke na mume hadi leo
baby nivumilie tu nitapata kibarua na nikipata kazi sintokusahau.. haha umeamua kuja kuomba ushauri huku kweli!
 
Kuna kipindi Michelle Obama, wakati huo Michelle Robinson, alikuwa ana date na Barack Obama.

Wakati huo Obama majalala kichizi. Obama kaja kumchukua Michelle waende date, Michelle kupanda gari la Obama akaona gari limechoka mpaka lina tobo chini ukiangalia unaiona barabara.

Lakini hakumtosa, kwa sababu aliona huyu jamaa ana akili, ana ambition, ni decent, ana mapenzi na ana bonge la future.

Unaweza ku date mtu mwenye hela sana leo lakini hana mipango na anaelekea kufilisika, na pia unaweza ku date mtu ambaye hana hela leo lakinibana akili na mipango mizuri ya maisha.

Michelle Obama alielewa hili.

Akakomaa na Barack ingawa Barack alikuwa hana kitu.

Mpaka wamefunga ndoa na wamepata watoto wawili, wamekaa White House miaka 8.

Kwa hiyo na wewe ukimpata mtu wako ana vigezo vyote unavyotaka, au unaona mnaweza kuvifikia pamoja, mshikilie mpaka mtafika pamoja.
 
jamani naombe mtupe moyo na maneno ya faraja ili kuvumilia changamoto kwa sisi ambao tunadate na wanaume ambao hawajatusua bado.

wa kwangu nimemaliza nae chuo,wote tunasaka ajira na pia tunaangalia na upande wa pili.

kuna wakati kama mwanamke unapata vishawishi kutoka kwa wanaume wenye pesa zao lakini unapiga moyo konde tu na kusali mana ukimwangalia mwenzako ndo hivo unampenda na kanafsi kanakusuta flani ukiwaza kufanya hivo.

wakati mwingine unakaa na kuwaza mh isije kua nakosa bahati

pia unaweza skia shuhuda za wanaume kibao walokuja kuwatenda wanawake zao baada kupata vijifedha kidogo.

nb: simanishi kwamba ni tegemezi no ila unakuta wote mmechalala maskini ya Mungu hakuna hata wa kumpiga tafu mwenzie

pia kwa mwenye shuhuda aweke hapa, ambae alimvumilia mwanaume wake since hana kitu na wakaend up pamoja as mke na mume hadi leo
Wewe ni yatima!!?
 
Mungu anaona mbayoyapitia, msichokane.

Unaweza msaliti akajua akakuacha kabisa na baadae akafanikiwa zaidi ukajutia maamuzi ya kumsaliti.

Vumilia mtayashinda. Narudia tena mvumilie mwenzako ilimradi tu haoneshi dalili za kukuacha.

Pendaneni, usije ukajikuta unakuwa mchepuko wake baadae.

Think beyond the holizon
 
Back
Top Bottom