Noel kabigi
Member
- Oct 15, 2017
- 16
- 8
Tuna tabia ya kunyea kambi
Hata mimi nakubaliana na wewe; Ikulu isiuzwe wala kuvunjwa, bali ifanywe kuwa Makubusho. Tena mimi napendekeza ingefanywa kuwa makumbusho maaulumu ya kisiasa, itakayo kuwa inahifadhi/na kuonesha harakati za kisiasa za kabla ya uhuru, kipindi cha kuelekea uhuru, na za baada ya uhuru hadi hivi leo.Wakuu hali zenu,
Najua mnajua kwamba tunakaribia kuhamia dodoma. Na baadhi ya vyanzo vya habari vinasema tukihama yale majengo ya serikali magogoni na mawizara tutayauza. Hili ndilo limenifanya niandike angalau kuweka mawazo yangu sawa.
Nashauri majengo ya Ikulu yabaki na tuyafanye makumbusho ambayo vizazi vyetu vitaendelea kujifunza historia endelevu ya taifa letu. Kwanza itaingiza kipato lakini pia itatoa fursa ya kulinda mandhari na heshima ya kitaifa. Nashukuru nimewahi kuishi uingereza na ufaransa kwa muda flan. wenzetu majengo kama haya huyahifadhi na kuyapa thamani zaidi. Tuweke uhai ndani ya majengo haya kwa kuonesha matukio gani au historia gani zilifanyika kwamfano rais gani alipenda kukaa na kufanya nini wapi? mikataba kadhaa ilisainiwa wapi au tukio gani lilifanyika wapi. ni muhimu, hatuhami nchi tunabadili makazi hakuna haja ya kuuza au kuvunja maana wapo ambao mawazo yao mafupi sana.
Msiweke mkuu wa mkoa mle kwani haya majengo hadhi na gharama zake ni kubwa sana. Mkuu wa mkoa aendelee kuishi anakoishi sasa. mnaweza kuweka ikawa ni ikulu ndogo ya raisi na ikatunzwa pia sio mbaya sana. Majengo ya wizara nakadhalika yakodishwe na sio kuuza. ukiuza unapata pesa once unatumia kujenga kolomije na zinaisha. ukiwekeza kwenye mambo mengine utaendelea kupata pango na umiliki wako utaendelea. tusiwe na mawazo ya kuharibu tu. tujifunze kwa wenzetu.
Nawasilisha kwa wenye akili walione,
Nangu mandokwa
Umenifirisi Mchambuzi.Jamaa yuko addicted na kuuza majengo ya serikali.
Dr Shika kununua majengo ya Ikulu na tausi wake.
Aliekwambia ikulu inabomolewa nani?Nawasilisha kwa wenye akili walione,
Wakuu hali zenu,
Najua mnajua kwamba tunakaribia kuhamia dodoma. Na baadhi ya vyanzo vya habari vinasema tukihama yale majengo ya serikali magogoni na mawizara tutayauza. Hili ndilo limenifanya niandike angalau kuweka mawazo yangu sawa.
Nashauri majengo ya Ikulu yabaki na tuyafanye makumbusho ambayo vizazi vyetu vitaendelea kujifunza historia endelevu ya taifa letu. Kwanza itaingiza kipato lakini pia itatoa fursa ya kulinda mandhari na heshima ya kitaifa. Nashukuru nimewahi kuishi uingereza na ufaransa kwa muda flan. wenzetu majengo kama haya huyahifadhi na kuyapa thamani zaidi. Tuweke uhai ndani ya majengo haya kwa kuonesha matukio gani au historia gani zilifanyika kwamfano rais gani alipenda kukaa na kufanya nini wapi? mikataba kadhaa ilisainiwa wapi au tukio gani lilifanyika wapi. ni muhimu, hatuhami nchi tunabadili makazi hakuna haja ya kuuza au kuvunja maana wapo ambao mawazo yao mafupi sana.
Msiweke mkuu wa mkoa mle kwani haya majengo hadhi na gharama zake ni kubwa sana. Mkuu wa mkoa aendelee kuishi anakoishi sasa. mnaweza kuweka ikawa ni ikulu ndogo ya raisi na ikatunzwa pia sio mbaya sana. Majengo ya wizara nakadhalika yakodishwe na sio kuuza. ukiuza unapata pesa once unatumia kujenga kolomije na zinaisha. ukiwekeza kwenye mambo mengine utaendelea kupata pango na umiliki wako utaendelea. tusiwe na mawazo ya kuharibu tu. tujifunze kwa wenzetu.
Nawasilisha kwa wenye akili walione,
Nangu mandokwa
KweliHhh jamaa ni raisi wa ujenzi sio wa uchumi kila siku ye habari zake ni barabara na majengo tu maswala ya uchumi kwake hayajui
Ukitaka kuamini simamisha msafara wake alafu msikilize habari zake anazoongea utamsikia anaongea kujenga na kubomoa tu hhhhh
we share the same dream brotherSidhani kama awamu ya sita watakaa Dodoma!
Naota kwa sauti .
Hata mimi nakubaliana na wewe; Ikulu isiuzwe wala kuvunjwa, bali ifanywe kuwa Makubusho. Tena mimi napendekeza ingefanywa kuwa makumbusho maaulumu ya kisiasa, itakayo kuwa inahifadhi/na kuonesha harakati za kisiasa za kabla ya uhuru, kipindi cha kuelekea uhuru, na za baada ya uhuru hadi hivi leo.
Kama ukweli fulani......Sidhani kama awamu ya sita watakaa Dodoma!
Naota kwa sauti .
Ndoto yako inaweza kuwasahihi kuhusu awamu ya sita