Mtazamo wangu
Mo
Kwa kuwa bihashara ndogo nyingi zinamilikuwa.na.mtu moja, moja ya mtaji muhimu ni afya ya mmiliki na muda wake, kwa hiyo chochite kitakachoathiri hayo mawili kinaweza kuwa chanzo.cha.kudorora kwa bihashara na hata kufa
#esp_2nd_yrs
Lakini kumbuka nazungumzia first year. Jaribu kuulizia IFM ujue yanayowakuta kwenye matokeo ya first year kuingia second year. Pia fuatilia idadi ya first year conas
Kwanza nipende kuwapongeza wanafunzi wote mliochaguliwa UDSM, na pia niwape pole kwa changamoto za ugeni na 'jokes' kutoka wanafunzi wazoefu
Dhumuni la kuandaa uzi huu ni kuwataka mjitafakari na kuchukua maamuzi sahihi
Katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, chuo kikuu cha Dar es salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.