Recent content by No SQL

  1. No SQL

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Huwa najiuliza hawa wageni tunawaleta wa nin kama mpira wenyewe ndio huu...
  2. No SQL

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Timu zote .. Zinapoteza sana mipira kizembe Hakuna mfumo wa kutafuta magoli CAF tutasindikiza tena
  3. No SQL

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    Kwa mpira huu..timu zetu bado sana, maneno ndio mengi lakin hakuna timu ya kushindana CAF hapa
  4. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mhubiri afukuzwa akiwa anahubiri Kariakoo, kwa madai ya kuleta usumbufu kwenye biashara

    Kwa jinsi mama alivyomfukuza...imenitia wasiwasi.
  5. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    CRDB nao wameweka...mimi nimepata
  6. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwako imechelewa
  7. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    CRDB naona wametuzoea, hii tabia imekuwa sugu na hawatolei ufafanuzi
  8. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mim naona na sisi tunachangia...mtu anakuja kushauri biashara humu, kwanini usim-ignore...unamjibu wa nn...matokeo yake watu wanatukanana
  9. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wap uko kimewaka
  10. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mkuu utajipa pressure bure....we tusubiri hela yetu tu, wengine wana-stress zao...
  11. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Serikali wanadai wamekwisha lipa...makato si tayar, hapo ni ww na bank yako
  12. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hili suala na kukatwa makato ya mikopo alafu pesa haionekeni bank, wanapaswa walitolee ufafanuzi, huu ulimwengu wa technology...ili tuwe aware na process inayofanyika
  13. No SQL

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Itakuwa hiyo ndio budget yake ya ku enjoy na huyo mshangaz....avimbe nae
  14. No SQL

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop,Lenovo Thinkpad E15 gen 2

    Location: Musoma Laptop zilizopo, 1. Lenovo Thinkpad E15 Gen 2 Ram: 8 GB SSD : 256 GB Price: 600k Processor: i5 gen 11 2: Dell latitude 7420 RAM: 16 GB SSD : 256 GB Processor : i5 Gen 11 Price: 500k 3: Mini desktops, BDCOM POE switches, 256 SSD, 1TB SSD..n.k Nicheck niulizie vifaa vya ICT...
  15. No SQL

    JamiiForums Tanzania Wadada msidanganyike, sehemu ya haja kubwa haipo "self-lubricating" kama ilivyo kwenye uke kwahio usitegemee pabakie natural vile vie

    Unaweza kutuambia pia kule uarabuni ambapo hii ni common practice...wanawake wangapi wamepata cancer?
Back
Top Bottom