Recent content by No SQL

  1. No SQL

    Nauza saa yangu ya Tommy Hilfiger Aiden Multifunction Watch

    Multifunction...nisaidie hapa kweny hili mkuu..inafunction gan tofauti na hyo main
  2. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naona mambo yameanza kunoga
  3. No SQL

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Aliewaletea "dini" kaweza sana kuondoa akili kwa waafrica... Zile "5w questions" sioni zikijibiwa....uki dominate soko la mafuta itakuaje?
  4. No SQL

    Bora kuwa single!

    Mpaka unaandika hapa...maana yake hauko sawa kiakili, hilo suala linakusumbua
  5. No SQL

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    Kuna kiwango cha pesa inabid kibak kweny mshahara... Kifupi hyo pesa huwez pata lkn hoja ya kuchukua mzgo wte alaf ukafanye kitu ni nzuri
  6. No SQL

    Kwa Watumishi wa Umma: Kipi Bora Kwako Kama Mwajiriwa? Uchukue Mkopo Mkubwa Kwa miaka 10 au Uchukue Mkopo Kidogo Kidogo?

    Hakuna bank ya kukupa 60m...hapo ndipo tatizo linapoanzia...ukiwa unaanza hawakupi hyo pesa
  7. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bado...hii kesho mapema sana
  8. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hehehehe hawa madogo wa 'standardized results' shida sana.... Waache tu
  9. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hehehehe au niwatumie assignment wateseke nayo....wasikae kwa aman wakati sijapata hela
  10. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hehehee uko tutakuwa tunaulizia pension na mikopo kwa wastaafu
  11. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Jpili hii mkuu....heheheee
  12. No SQL

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Umefika mkuu...tuendelee kusubiri tu
Back
Top Bottom