Ungejua, Mimi nafuatilia sana ni namna gani ya mkumsaidia Mkuu wa nchi ila wapo wanaonifuatilia mno, kwanini nafuatilia. Hakuna mwenye nchi sote ni katukumeni wa kiinanchi kwa kila mmoja, aseme ndiyo au hapana akiwa na vilelezo vya mashiko...! Wewe unasemaje..?
Kwanini baadhi ya watu hupenda kupokea zawadi? Hakika zawadi ni sehemu ya faraja kwa mpokezi wa zawadi hiyo.
Lakini nisaidieni, ingawa wenye falsafa ya dini husema heri kutoa kuliko kupokea! Nani atoe? Baadhi ya watu wengi hupenda kupokea zawadi kuliko kutoa inakuwaje kijamiii?
Nani ana taarifa sahihi za kushikiliwa kwa mwana jf...?
Kwanini ashikiliwe...? Kama kuna ukiukwaji katika kazi zake, kwanini mtandao usifungwe, iliuchunguzi ushike nafasi, kama yafungiwavyo baadhi ya Magazeti...? Ukweli utadhihili...! Nijuzeni wanajf kulikoni...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.