nkyandwale
Member
- Feb 8, 2011
- 64
- 15
Kwanini baadhi ya watu hupenda kupokea zawadi? Hakika zawadi ni sehemu ya faraja kwa mpokezi wa zawadi hiyo.
Lakini nisaidieni, ingawa wenye falsafa ya dini husema heri kutoa kuliko kupokea! Nani atoe? Baadhi ya watu wengi hupenda kupokea zawadi kuliko kutoa inakuwaje kijamiii?
Lakini nisaidieni, ingawa wenye falsafa ya dini husema heri kutoa kuliko kupokea! Nani atoe? Baadhi ya watu wengi hupenda kupokea zawadi kuliko kutoa inakuwaje kijamiii?