Recent content by nkwita

  1. N

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu sio kwa hayo tu wafanya biashara za mitandaoni, nk wanatumia Man Utd Session kuingiza kipato. Mkuu atakaye fungua youtube channel itakayokuwana video xza mau utd mechi zake za wakati wote ni fursa nzur sana. . Niliingia bar bar moja washabiki wa man walipoona wafanyakazi wanashadadi...
  2. N

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    chelsea bye bye
  3. N

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Ashukuru Bendera amepelekwa Songwe kuwa DAS na sheria(kichama) inambana kugombea
  4. N

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Si mmeng'ang'ania shangazi. Anapenda misifa na kujikweza
  5. N

    Nimeajiriwa ofisi kubwa tu tatizo lack of confidence, ni bora ukose kila kitu, sio kujiamini

    Wakuu naomba msaada kujiamini ni shida kwangu. Nakosa kitu hiki, nakosa kuaminiwa katika mambo makubwa, nikiaminiwa ile asili yangu i mean tabia yangu inanibeba. Nipo vizuri katika kazi Wakati mwngine nalewa nijiamini lkn naishia kuwa na hangover na miharufu na bia. nikiwa na viongozi wakubwa...
  6. N

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nasemaga man inawangiwa sana Sent from my itel A44 using JamiiForums mobile app
  7. N

    Wadada mmezidi kupiga mizinga (kuomba hela)

    Wengjne wanatumia neno "K" baby naomba 30K duh siku ya kwanza kujua matumizi ya K nilichoka kwanza nilidata, nikakaa chini nikahoji 3k si milioni hiyo? Nina gugo nikaona kumbe no 30,000/- mamaae nikamwambia nimekwamba Gari imegonga, nichekie elf10, baasae nikamtumia 20k tukawatumelipana, japo...
  8. N

    Mimi ni Nkwita mateja na hii ndio pub yangu

    Mlimani babu Mipini ya hatar
  9. N

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    No wanatoka
  10. N

    Mimi ni Nkwita mateja na hii ndio pub yangu

    Kama unapiga had asb utauliza swal hilo
  11. N

    Mimi ni Nkwita mateja na hii ndio pub yangu

    Haha huko kuna DJ? Maana ndio ugonjwa wangu anaejua kuchagua mipini na kuipangilia. Hakuna kama hawa machalii hapa
Back
Top Bottom