Blessings nilikua safarini gari imeharibika..nisaidie walau laki maana hatufiki leo🤭Dear niazime laki 3 nitakurudishia
Halafu ukimuambia hauna hiyo pesa ananuna!Dear niazime laki 3 nitakurudishia
Ukiona message inasomeka, ( bby, mme wangu mambo, nikwambie kitu) apo mwamala
Bei ganNdiyo mkuu
Shilingi miaBei gan
Huyo mgonjwa Hana ndugu?Mnacomplicate sana maisha watu humu ndani,sioni sababu ya kulalamika hapa,sidhani kama kuna watu watakuja kuoa humu ndani.
Sababu kama unalalamika kuombwa hela ya dawa,ukiambiwa ukweni nyumba imebomolewa na mafuriko utafanyaje,au utachukulia umepewa tu taarifa ili ufahamu,baasi.
Unalalamika kuombwa msaada wa kusaidia mgonjwa apone? We ni undertaker nini?
Haji ng'oo utasikia vumilia babyhahahaaa kijana acha ku panic...ukingia katika gemu kama hizi.....ni ivi ukikutana na mdada mwenye.....wa aina hii unachotakiwa ujifunzee....mchezoo...unaitwa nusu kaputi yaani ....ukiobwa hela....unamjibu mdada hivi....""usijali mpenzi njoo getto ujee uchukue....maana line yangu ya tigo pesa au mpesa zina matatizoo njoo getto nikupe"" halafu kwa maliziaa ...ukisemaa mwaaa halafu dia nina nyeg""e....uone kama atakutafutaa .....wala kukuomba hela""" mwambie njooo getto uchukuee usikie majibu yakee
Huwezi kuchangia mada bila kuongelea CCM?Africa is fighting independence for the second time everywhere. This indigenous colonialists like maccm represent the worst form of colonialism, because they can camouflage as if they have the best interest of people.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mwanaume atoe helaIla kiuhalisia mwanamke haitakiwi kuomba hela...inabidi mwanaume ndo ampe hela..I had a friend of mine yeye kila mwez ukianza anakatiwa 400k! Yaan hiyo haina Tena kuongezewa..of course inatosha Sana! Hiyo ndo defn ya mwanaume...sio kila Mara uombwe hela jmani..toa tu! Kata fungu jema jikatae