Recent content by nkwamangi

  1. N

    Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    Udini upi? Wa kuwafunga mashehe hovyo au. Ongea vitu vyenye mantik si suala la dini.
  2. N

    Ushauri wa kiutu uzima muhimu jamani! No Jokes, this is serious bussiness

    Sura utakula ndani? Huyo asiye na good looking na anakupenda ndo mzuri maana huyo kisura wako atapendwa na wengi
  3. N

    Hivi ni mtangazaji gani anayekuvutia

    Anayenivutia: Kibonde Gardner Zembwela Gerad handle
  4. N

    Nimekumiss Marangu Mtoni...!!!!

    Kweli uchagani hakuna njaa. Mi napapata lyasomboro
  5. N

    Nyaisangah hakutendewa haki hata kidogo

    Hii ni desturi ya watanzania haswa akifa mtu maarufu
  6. N

    Marehemu Mushi kusafirishwa Alhamisi kwenda Uru Moshi

    Hatuwezi jua chanzo ni nini hadi mtu kufikia hapo jamani. Hasira ni shetani tusimhukumu mushi. Tumuachie muumba wake
  7. N

    Mademu wa siku hizi ombaomba mnooo!!!

    Jamani wasichana wameendekeza shida kwa tamaa zao za kidunia
  8. N

    Ufoo Saro wa ITV ajeruhiwa kwa risasi, mamake auawa!

    Duuuu jamani mbona mauaji ya ajabu hivi. Tunamuombea ufoo apone
  9. N

    "ualimu ni kupoteza muda"

    Anayeuponda ualimu ujue ni ktk wale waliofeli ikabidi akasome tu bila kupenda cause kama unapenda huwezi lalamika. Ni kazi inayompa mtu uhuru wa kufanya miradi mingine na ukafanikiwa
  10. N

    MWANAUME anapomkodolea jicho MREMBO mwingine huku akiwa na mpenzi wake.

    Unakuta mwanamme anadrive ila anaweza kushangaa hadi ukahisi atapata ajali.
  11. N

    Fanyieni usafi nywele zenu za bandia

    Wasichana acheni kukaa na nywele miezi kibao bila kuosha. Uchumi ukikushinda si ukate!
Back
Top Bottom