Recent content by Nkollolo

  1. N

    Naomba kujuzwa taratibu za uteuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

    huwa nakuelewa sana mkuu tuko pamoja
  2. N

    Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

    Kanda ya ziwa imebebwa na simiyu kwa uzuri, mwanza inafatia, shy, kagera, geita, mwisho kabisa n mara
  3. N

    Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

    Jina lake kamili anaitwa kabula, kabila lake n msukuma pia n mwanamke
  4. N

    Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

    Una maana gan? Mbona wachaga mnajiona sana wakat hamna chochote, unaweza kukuta hata kwenu msomi labda n we tu, et ondoa nakushangaa sana be smart plz
  5. N

    Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

    Basi kuanzia leo jua kuwa wasukuma wana IQ KUBWA sana , walechelewa kusoma kwasababu ya ufugaji ila kwasasa n moja ya kabila linalokuja juu sana kielemu nchini, we nenda vyuon ukaone idadi ya wasukuma na wako vizr kimasoma balaa , by da way nowdays kuna wasukuma wengi tu wasomi nchini...
  6. N

    Aina za wasukuma na kisukuma

    Alichokiongea n sahihi kabisa, pia wanyantuzu wako vizuri hata kwenye elimu halaf mkoa wa simiyu kwa ujmla wakazi wake wana kipato cha kati ukilinganisha na mikoa mingine kama geita, shinyanga , au mwanza" kwahyo wako vzr halaf wapo mpka kariakoo wana maduka makubwa , kwenye dhahabu ndo...
  7. N

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Itakuwa bonge la hospital
  8. N

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Nimefurahi sana kuona jiji langu zuri katika mazingira mazur
  9. N

    Yaliyojiri Kuapishwa kwa Mkuu wa Majeshi, Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na Mabalozi

    Huyu general mpya wadhifa wake tafadhari, anaejua alizaliwa Wap? Na nk
  10. N

    Wana Simiyu tukutane hapa tujadili maendeleo ya mkoa wetu

    Wana Simiyu tukutane hapa tujadili maendeleo ya mkoa wetu na hali ya uchumi katika kipindi hiki kigumu.
Back
Top Bottom