Alichokiongea n sahihi kabisa, pia wanyantuzu wako vizuri hata kwenye elimu halaf mkoa wa simiyu kwa ujmla wakazi wake wana kipato cha kati ukilinganisha na mikoa mingine kama geita, shinyanga , au mwanza" kwahyo wako vzr halaf wapo mpka kariakoo wana maduka makubwa , kwenye dhahabu ndo...