uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 5,086
- 8,942
Shida ni pale mnaojua mnapokaa kimya lazima wasiojua waje kuongea ila ukweli nimekaa na wasukuma mwaka wa 3 sasa katikati yao mnyantuzu ni wa kuwa makini nae baadhi yao sio watu wazuri kabisa wanathamini mali kuliko utu ila wana mabinti wazuri sana na sio wachoyoHovyo kabisa, kama hujui kaa kimya