Habari zenu humu mm nimehitimu diploma ya Computer science kwa mwaka sasa nilikuwa najiuliza kila kitu ni kipi nakipenda na nikawa navutiwa sana na maandishi yanayo husu code kudesign website na app developer.
Nimekuwa napenda kufatilia tutorials mbali mbali you tube kujifunza kwa wiki mbili...
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea kuumana huko kwa mahasimu wawili Israel vs Palestine natamani nijue ipi security system bora dhidi ya mashambulizi ya angani kwa wajuzi wa mambo?
Huwezi kuwakwepa kwa njia yeyote kwenye ustawi wa taifa na pia kiulinzi na usalama nchi yeyote vyombo vya ulinzi kama Tiss ndiyo wenye jukumu la kuishauri selikari ktk kuenda mbele iwe kwa njia hata ya kufanya ujasusi kwenye nchi nyingine ukiona nchi inafeli ktk uchumi,kisiasa na ulinzi ujue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.