Recent content by Njiwa wangu

  1. Njiwa wangu

    Naomba kufahamu taratibu na sheria za kuanzisha zahanati

    Mbona watoa shule siku hizi ni wachoyo jamani
  2. Njiwa wangu

    Fahamu namna ya kuingia deep web & dark web

    🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♂️napita tu
  3. Njiwa wangu

    Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

    Aisee hii shule isije ikawa ni Idete pale wilaya ya Uyui maana niliwahi kutana na visanga pale Ilalwansimba
  4. Njiwa wangu

    Ni nini hatima ya kanisa la Feel free?

    Ahsante kwa mada hii kaka mkubwa, Cha kwanza naimani unawajua watanzania vizuri huwa wakiaminishwa kitu huwa ni ngumu kuwatoa mpaka litokee jambo ambalo mbele ya macho yao na bado kuna wajinga wataamiini ni majaribu tu, hii ni kwasababu wengi wao biblia wanaisoma kama gazeti au wanazo Bible kama...
  5. Njiwa wangu

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Otherwise utakuwa umelipwa kutangaza huo utapeli endelea ndugu malipo yake utayaona
  6. Njiwa wangu

    Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

    Nenda kanitafutie vilema hao 100 uwalete kama utawapata eneo moja acha kudanganyika kaka duuh
  7. Njiwa wangu

    Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

    Vipi kiongozi bado unaitetea?
  8. Njiwa wangu

    School management system

    Nilishapata mtu
  9. Njiwa wangu

    School management system

    Oooh nimeshapata mtu mkuu
  10. Njiwa wangu

    HIMARS ni nini?

    🙄🙄
  11. Njiwa wangu

    Dar es Salaam: Askari 300 waongezwa kudhibiti panya road

    Mfuga mbwa analalamika mbwa wanamsumbua na huku anafaidika nao
Back
Top Bottom