hery_edson
Senior Member
- Sep 24, 2014
- 151
- 164
Habari zenu wana Jamiiforus,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ninaomba kujua taratibu za kuanzisha zahanati, kwa vipengele vifuatavyo:-
(i) Ujenzi wa jengo-Ninamiliki kiwanja chenye vipimo vifuatavyo 30m x 24m.
(ii)Gharama za Vifaa husika kwa ajili ya kuanza kazi.
(iii)Gharama za usajili wa zahanati pamoja na leseni za kuendesha huduma husika.
NB; Hii ni long-term project ambayo nitakua naijenga kwa kudunduliza (sitaki izidi miaka 3) kutokana na hali zetu za kiuchumi kua ngumu.
Kwa wale ambao wanajua ABC za kuanzisha project hii naombeni msaada wenu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ninaomba kujua taratibu za kuanzisha zahanati, kwa vipengele vifuatavyo:-
(i) Ujenzi wa jengo-Ninamiliki kiwanja chenye vipimo vifuatavyo 30m x 24m.
(ii)Gharama za Vifaa husika kwa ajili ya kuanza kazi.
(iii)Gharama za usajili wa zahanati pamoja na leseni za kuendesha huduma husika.
NB; Hii ni long-term project ambayo nitakua naijenga kwa kudunduliza (sitaki izidi miaka 3) kutokana na hali zetu za kiuchumi kua ngumu.
Kwa wale ambao wanajua ABC za kuanzisha project hii naombeni msaada wenu.