Recent content by NJALI

  1. N

    Kufyatua tofali au kununua, kipi bora?

    Fyatua mimi nitawasomesha
  2. N

    Mauaji yanayoendelea Kibiti, Pwani: Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza

    Suala la askari wetu kuuliwa kinyama na watu wasiojulikana tena kwa kupigwa risasi ni la kulaani. Mimi sijafurahi. Tatizo hili likiendelea linaweza kuleta changamoto zifuatazo:- 1. Maaskari wetu watafanya kazi kwa hofu bila weredi. Hivyo kuongezeka uharifu zaidi. 2. Utalii wa ndani na nje...
  3. N

    Mauaji yanayoendelea Kibiti, Pwani: Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza

    Kumbe tungepambana na ALSHABAB Kodi ya kichwa ingerejeshwa? Suala la KIBITI ni zito sana hasa ukilinganisha na ugumu wa maisha uliopo. Serikali hii ni makini sana, ijipange iwaangamize kama panya roads
  4. N

    Kuna Kitu Kinamsumbua Mzee Mwinyi kuhusu Rais Magufuli!

    Innah lillah wa innah lah rajiun TANZANIA
  5. N

    Serikali isitishe JKT

    Tusi mkatishe tamaa bali tutoe hoja za kujenga, aweke wazi washauri wake wa kisiasa, ki uchumi, ki sera, kisheria, ki jamii n.k pia ki usalama maana taifa lina mhitati sana kuliko hata familia yake. Jk pamoja na madhaifu mengi anaweza mfaa kwenye political and self defence tactics. Japo nae ana...
  6. N

    Serikali isitishe JKT

    Minmi ni raia wa kawaida, katiba inaniruhusu kuongea chochote ambacho hakivunji sheria na katiba ya nchi. KWA YALE Yanayoendelea KIBITI Kuna kila aina kuwa hawa watu wana military training tactics, yaani wana mbinu za kijeshi, pia wako vizuri ki intelijensia. SERIKALI Isiwapuuze hata kidogo...
  7. N

    Anjela Kairuki awatolea uvivu waliopoteza majimbo

    Mimi sijaelewa hilo jungu kuu limemlenga mkuu gani. Awe wazi sisi wengine hatujui kutafsiri vijembe.
  8. N

    Mtikisiko katika mabenki: Zaidi ya Bilioni 120 wanazo watumishi hewa na mdhamini ni serikali

    Kumbukeni Meli ya wachina , tulishindwa kesi au tulishinda? Tukipata jibu tujiandae ki saikolojia kilipa madeni ya hewa watumishi. kila jambo lina faida na hasara zake. Serikali ichote pesa iwalipie, wakalime kwa bibi.
  9. N

    Kesho rais wetu sema chochote kuhusu salary increment na kupanda madaraja

    Kuna watumishi wenye stress, wapo. Kuna waliochoka kuisoma namba, wapo. Kama uhakiki umeisha, basi waongezee hata buku ili waongeze ufanisi na molari kazini. Hao hewa sheria ichukuwe mkondo wake, lakini halali wapewe haki yao. Pia kumbuka kufungua kufuli la uhamisho wa Tamisemi na idara...
  10. N

    Askari Polisi Nyarugusu nani anawapa jeuri?

    Ninajua Rais wetu ni mpenzi wa wanyonge, kila MTU anafahamu hilo, kuna MTU anaitwa Baraka huyu ni Mungu kwa hii kata. Anafanya anacho taka kisa anapesa, anashika watu ovyo, akisikia kuna eneo linatoa dhahabu anajimilkisha yeye. Walio gundua wana ondolewa kwa nguvu. Uliza NYARUYEYE, Busolwa...
  11. N

    Kidole kimoja hakivunji chawa

    Hii methali niliisoma miaka ya 90 nikiwa primary school. Nchi yetu imefikia hatua ya MTU mmoja kuamini anaweza kila jambo yeye. Hataki ushauri hasa kwa wenzangu na Mimi tusio na elimu ya PhD yaani poor Hair Distribution. Yaliyotokea kibiti ya askari wetu kuuliwa ni ya kulaani. Ni ugaidi, lakini...
  12. N

    Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

    Magufuli has done fair decision, huwezi funika jua kwa ungo. Wimbo umesha vuja mtaani. Amuachie na babu Seya, tuanze upya
  13. N

    Rais Magufuli kuna haja ya kueleza umma sababu za kutumbua mtendaji serikalini

    Mimi ni miongoni mwa watanzania wachache wasio wanafiki, kwani sili kwa MTU, sina matarajio ya uteuzi kwa kuwa sija soma. HOJA Mh. nchi hii kuna wasomi wengi, kuna wenye busara wengi, kuna wana falsafa wengi sana. Ifike mahali utuambie kuwa MR/MISS/MRS. X nimeamua kumpuzisha kwa sababu...
  14. N

    Hivi rais huwa anasocialize?

    Yuko sawa, angeenda Tarime akara Kichuri cha mbusi awe mkari saidi Mura. Sasa hivi ni mubhore sana Mura.
  15. N

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Mrisho mpotto, ROMA, KALA JEREMIAH someni alama za nyakati. HUU UTAWALA SIO WA KI SPOTI SPOTI.
Back
Top Bottom