Kusema ukweli kaka hajafunguka kwangu ila baada ya kuambiwa na huyo hawara mmoja na baada ya kufanya research yangu ndogo naamini kabisa brother ana shida nina uhakika huo 100%
Boss nimeshakuambia siyo mimi km unataka naweza kukuPM namba yake ila hakikisha unamsaidia na siyo kumuongezea matatizo ama kumtia msongo wa mawazo, by the way mimi nilishaelekezwa kuwa kuna bibi yupo Kigoma wilaya ya Kasulu kijiji kimoja kinaitwa Heru juu, naskia bibi ni mtaalamu balaa ila...
Thanks kwa ushauri mkuu wa huyo bibi, ila shida ni namna ya kumwambia bro kwamba sasa brother unaumwa abc sasa nimepata mganga wa kukutibu pa kuanzia ndo shida
aliyetegwa mimi nipo gado ila sikulazimishi uamini hivo, nimekuja hapa kuomba watu wanisaidie mbinu za kuingia kwa brother ili nimfahamishe kuwa hajachelewa tiba ipo ila shida ni namna ya kumuingia na kusema kuwa nimesikia husimamishi ndiyo shida hapo aise
Nahitaji msaada wenu wanajamii forum, naamini palipo na wengi hapaharibiki jambo na mwisho wa siku ntapata msaada wa kunikwamua mahali nilipo
Nina kaka yangu mwaka huu amefunga 42 years, actually ni mototo wa mama yangu mkubwa, ina shida moja kubwa ambayo nimeigundua hivi majuzi baada ya...
Kama tayari wamethibitika kuwa wametoa mafunzo kwa hao vijana kwani hao wakimbizi wakihamia nchi nyingine Rwanda haiwezi kuwafuata na kuwapa mafunzo? Cha msingi kama umoja wa mataifa wana ushahidi kamili ni kupiga Rwanda vikwazo vya kufa sio kuwachekea tu, yaani DR wao, Burundi wao hivi kwani...
Unajua idadi au asilimia ya wananchi waliomgomea,lishasikia tofauti na Bujumbura tena baadhi ya vitongoji km kuna sehemu nyingine wanampinga Nkurunziza? Kwa taarifa yako hakuna wananchi waliompinga Nkurunziza isipokuwa Kagame na Mseveni ndiyo wanaompinga Nkurunziza kupitia kwa watusi wachache...
Mimi kuna kitu huwa nikifikiria basi najisikia kutapishwa kabisa, Kagame ameitawala Rwanda tokea mwaka 1994 July, najua wengi watasema kuwa rais wa wakati huo alikuwa Pasteur Bizimungu lakini kwa taarifa yenu Bizimungu alikuwa tu zuzu lililokaa pale kufuata matakwa ya boss wake Kagame.
Yoweri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.