aliyetegwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 320
- 524
Utafiti unatakiwa kuanza na utambuzi, tambua kama kuna mwanafamilia yeyote anayejua tatizo lake.Boss nimeshakuambia siyo mimi km unataka naweza kukuPM namba yake ila hakikisha unamsaidia na siyo kumuongezea matatizo ama kumtia msongo wa mawazo, by the way mimi nilishaelekezwa kuwa kuna bibi yupo Kigoma wilaya ya Kasulu kijiji kimoja kinaitwa Heru juu, naskia bibi ni mtaalamu balaa ila shida yangu mimi hasa ni nmna gani kumwambia brother kwamba nenda kwa bibi ukachukue dawa ilihali hajawahinitamkia kama anaumwa ama si mzima. So kwanza nisaidiwe namna ya kuweza kumwambia na hayo ya kutibiwa yaje baadae
Kama unampenda na kumjali sana unaweza mtafutia msichana afu huyo mribwende unamsomesha mchezo mzima, mwisho wa siku si atagundua tatizo, uyo binti atajidaisha ka anataka msaidia na atampeleka kwa mtaalam uliyemtafutia ama utampa dawa ambayo utampatia ambayo itasaidia tatizo lake.
(hapo ni biashara inamaana uyo mdada utatakiwa kumlipa kwa shughuli atakayokusaidia)
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app