Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Duh!!,story ndefu kweli kweli,wengine ni wavivu wa kusoma.
Mkuu Mgirik nashukuru kwa mawazo yako. Nasikitika huu uzi kuna mtu amecopy na kuuweka hapahapa jamvini na mods wala hawajachukua hatua yeyote..!Dah! Nmesoma ule mrejesho. Ila kuna bom unalitengeneza likija kulipuka madhara yake yatakuwa makubwa sana''
bora uachane na huyo mwanamke, ataisababisha nyumba yako iwe syria kama sio Bujumbura
Nimetoa taarifa kwa mods wafanyie kazi,jamaaa ka-copy uzi km ulivyo halafu kauleta hapahapa! Bila aibu hajabadilisha hata kidogo,amecopy km ilivyo! Watu km hawa wanatakiwa kupigwa ban ya maisha.
Na alivyo wa ajabu,amecopy story km ilivyo,hajabadili chochote..! Inabidi haki zetu ziwe zinalindwa
naaaam...nimekuelewaaaaaKwani wewe hupendi, tatizo mimi nitakuwa najua wewe ndo umetumia kabla yangu, lakin hata wewe ulikuta walishatumia (used) japo mtumiaji haumfahamu.
Kipya kinyemi....ingawa ni kidonda.. Ganda la muwa la jana..sisimizi alinijivunia na kuona amevuna
Na alivyo wa ajabu,amecopy story km ilivyo,hajabadili chochote..! Inabidi haki zetu ziwe zinalindwa