Kaka yangu jogoo hawiki, msaada wenu

Kaka yangu jogoo hawiki, msaada wenu

Oya dawa zipo lakini hawawote hakuna hatammoja alie mpenda kwa zati kama walikuwa Na mapenzi ya zati wangevumilia Na wangeangaika nae ila pole sana kaka angu.
 
Kama anaficha tatizo Ni ngumu kumsadia,tafuta mtu mzima katika familia yenu lakini mwenyewe busara amkabili bro..
 
Kuwa mkweli usaidiwe!! Nilikuuliza uzito wake na tests condition yake usingeweza kujibu!!
Boss nimeshakuambia siyo mimi km unataka naweza kukuPM namba yake ila hakikisha unamsaidia na siyo kumuongezea matatizo ama kumtia msongo wa mawazo, by the way mimi nilishaelekezwa kuwa kuna bibi yupo Kigoma wilaya ya Kasulu kijiji kimoja kinaitwa Heru juu, naskia bibi ni mtaalamu balaa ila shida yangu mimi hasa ni nmna gani kumwambia brother kwamba nenda kwa bibi ukachukue dawa ilihali hajawahinitamkia kama anaumwa ama si mzima. So kwanza nisaidiwe namna ya kuweza kumwambia na hayo ya kutibiwa yaje baadae
 
Thanks kwa ushauri mkuu wa huyo bibi, ila shida ni namna ya kumwambia bro kwamba sasa brother unaumwa abc sasa nimepata mganga wa kukutibu pa kuanzia ndo shida
mchane live ndugu atajisikia vibaya kama umejua tatizo then hukumsaidia,lkn km umemsaidia,atashukuru sana,haya mambo yanatesa nafsi kama mtu anao mtulinga tuu may e hausimami vizur anapagawa jee huyo? mwambie mmoja wa madem material uliyetaka nimuulizie ndio kasema una hilo tatizo hapo unageuka unakua serious,unamwambia madhara ya kuwahivo wakat huo huo unamwakikishia kua tiba ipo,ataona haibu na atataka umsaidie
 
Boss nimeshakuambia siyo mimi km unataka naweza kukuPM namba yake ila hakikisha unamsaidia na siyo kumuongezea matatizo ama kumtia msongo wa mawazo, by the way mimi nilishaelekezwa kuwa kuna bibi yupo Kigoma wilaya ya Kasulu kijiji kimoja kinaitwa Heru juu, naskia bibi ni mtaalamu balaa ila shida yangu mimi hasa ni nmna gani kumwambia brother kwamba nenda kwa bibi ukachukue dawa ilihali hajawahinitamkia kama anaumwa ama si mzima. So kwanza nisaidiwe namna ya kuweza kumwambia na hayo ya kutibiwa yaje baadae
achana nao kaka uwe ww au sio wewe wao inawahusu nini,tafuta solution temana nao
 
Angekuja mwenyewe hapa kushuhudua angepata ushauri mzuri zaid.
Unaweza mpambania na asiwe tayari kupata huduma...
 
Oya dawa zipo lakini hawawote hakuna hatammoja alie mpenda kwa zati kama walikuwa Na mapenzi ya zati wangevumilia Na wangeangaika nae ila pole sana kaka angu.
kweli yaani hawakumpenda jamaa anipe namba yake nijiweke tutaanza from ziro nitaleta mrejesho
 
Thanks kwa ushauri mkuu wa huyo bibi, ila shida ni namna ya kumwambia bro kwamba sasa brother unaumwa abc sasa nimepata mganga wa kukutibu pa kuanzia ndo shida
kaka yako amekwambia tatizo au nikutoka kwa hao mahawara tu.....???
 
aliyetegwa mimi nipo gado ila sikulazimishi uamini hivo, nimekuja hapa kuomba watu wanisaidie mbinu za kuingia kwa brother ili nimfahamishe kuwa hajachelewa tiba ipo ila shida ni namna ya kumuingia na kusema kuwa nimesikia husimamishi ndiyo shida hapo aise
unataka kumuingia kaka ako au sijakuelewa
 
kaka yako amekwambia tatizo au nikutoka kwa hao mahawara tu.....???
Kusema ukweli kaka hajafunguka kwangu ila baada ya kuambiwa na huyo hawara mmoja na baada ya kufanya research yangu ndogo naamini kabisa brother ana shida nina uhakika huo 100%
 
aliyetegwa mimi nipo gado ila sikulazimishi uamini hivo, nimekuja hapa kuomba watu wanisaidie mbinu za kuingia kwa brother ili nimfahamishe kuwa hajachelewa tiba ipo ila shida ni namna ya kumuingia na kusema kuwa nimesikia husimamishi ndiyo shida hapo aise
Ukipata tiba utaenda kumpaje wakati hajawahi kukuambia kama anatatizo?? Kuna mwanafamilia yeyote anayejua tatizo la broo??

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu cha kufanya ni kutafuta sehem na kukaa na kaka yako kisha mwaga tuhuma ulizosikia kwa hao wanawake kisha uangalie response yake.Jaribu kumuwekea mazingira ambayo atakuwa na confidence ujue chanzo cha tatizo na hatua ambazo yeye amechukua na hapo ndio utapata wapi kwa kuanzia.Ni bora kama atakuwa na tatizobhilo kweli mkaanza kwenda kumuona daktari.Bora umwambie wewe ndugu na rafiki yake wa karibu kuliko kumtongozea wanawake ambao mwisho wa siku wanajua udhaifu wake.Jaribu kukaa nae na umbane akuambie ukweli na wewe ndio utakuwa shujaa wake
 
Kuna rafiki yangu mumewe had some issue,nikapata Bibi mmoja akamsaidia sasa sijui tatizo lake huyo bro wako limeanzaje limeanzaje,lakini nakumbuka tulitoa elfu 30 tuu akapata dawa ya kuweka kwenye chai na nyengine ya kuchemsha mizizi,sasa rafiki anapeta na mumewe na ameweka routine Asubuhi lazima apate sunday hataki kujua anarudia,anasema analipiza those missed days,kama utataka kujaribu naweza kukuulizia kwa Bibi...
Utamsaidia sana na utasaidia wengi sana kama utaweka namna ya kumpata bibi huyo
 
1157b63b4ae2d5500209584af6baa252.jpg
 
Kikubwa nachokuomba na kukutaka mtafute huyo kaka yako kisha nenda nae sehemu ambayo mtakaa kwa utulivu kisha mwambie kuwa una tatizo kama lake.

Jifanye hujui kabisa tatizo lake ila muombe yeye ushauri na umwambie akusaidie, katika hili naamini atajua moja kwa moja kuwa umemwamini ni kumweleza suala zito kama hilo hivyo anaweza kuwa wazi na yeye akakwambia analo tatizo hilo.

Hii itamsaidia sana kumpa ujasiri ajione siyo yeye pekee yake mwenye tatizo hilo.

Jaribu hiyo njia, nakutakia majukumu mema.
 
Back
Top Bottom