Naruhusiwa kumuoa?

Naruhusiwa kumuoa?

loh imebidi nichore mti familia ndio nimeelewa mkuu unaweza kumuoa by the way huyo Salima sio mama yako mzazi .n pia Asia atakuwa mkwe na mjukuu wa wakufikia kwa mzee Mafudu kwahiyo ana position mbili
 
Huyu unaoa na unapiga kama kawaida!Undugu wa kuunga unga sana huo hadi nauona kwa binoclars
 
Ndugu ZANGU,

Naitwa Udangu, baba yangu anaitwa Mafudu, baba yangu ana mke aitwaye Salima ambaye ni mama yangu mlezi.

Salima ana dada yake aitwaye Fatima, na huyu Fatima ana mtoto aitwaye Faudhia.
Sasa huyu Faudhia naye ana mtoto aitwaye Asia.

Kwa mahusiano hayo hapo,#Asia ni mjukuu wa dada wa mama yangu mlezi.

Hoja yangu ni kwamba,
Je, Kidini (Ya Kiislam)
Kuna uhalali wa mimi kumuoa Asia?
Pia kijamii, hiyo haina/ina tatizo lolote?

Nawasilisha.
Kama umempenda muwowe tu haina shida
 
Back
Top Bottom