Hahahahaja......Makofi Polisi ati?
Kama umempenda muwowe tu haina shidaNdugu ZANGU,
Naitwa Udangu, baba yangu anaitwa Mafudu, baba yangu ana mke aitwaye Salima ambaye ni mama yangu mlezi.
Salima ana dada yake aitwaye Fatima, na huyu Fatima ana mtoto aitwaye Faudhia.
Sasa huyu Faudhia naye ana mtoto aitwaye Asia.
Kwa mahusiano hayo hapo,#Asia ni mjukuu wa dada wa mama yangu mlezi.
Hoja yangu ni kwamba,
Je, Kidini (Ya Kiislam)
Kuna uhalali wa mimi kumuoa Asia?
Pia kijamii, hiyo haina/ina tatizo lolote?
Nawasilisha.
Yaani FaizaFoxy Tangu uzaliwe,Mnaoana kama kawaida huyo, hayumo kwenye "mahrim" wako. Soma sura't Annisaai iko wazi kabisa walioharamishwa kwako:
4. SURAT AN-NISAAI