Kwanini kwa Piere Nkurunziza ni dhambi ila kwa Museveni na Kagame si dhambi?

Niwemugizi

JF-Expert Member
Oct 15, 2012
902
462
Mimi kuna kitu huwa nikifikiria basi najisikia kutapishwa kabisa, Kagame ameitawala Rwanda tokea mwaka 1994 July, najua wengi watasema kuwa rais wa wakati huo alikuwa Pasteur Bizimungu lakini kwa taarifa yenu Bizimungu alikuwa tu zuzu lililokaa pale kufuata matakwa ya boss wake Kagame.

Yoweri Museveni ametawala Uganda tokea sijazaliwa mwaka 1986 mpaka sasa ni rais wa Uganda na mwezi huu bila shaka yoyote ile Waganda watampatia tena kura za ndiyo kumpeleka ikulu.

Sasa huwa najiuliza why Burundi and why Nkurunziza kutaka mhura wa Tatu imekuwa taabu kwa Uganda na Rwanda? Kwa nini wao wasitoe kwanza boriti kwenye jicho lao ndiyo watoe na maboriti ya wenzao? Kuna kitu Rwanda inatafuta kupitia Burundi si bure but this time naamini mchuma janga hula na wa kwao kwa hiyo haitaishia Burundi itavuka mpaka Rwanda.

Kila siku Rwanda inashinikiza Burundi ipokee majeshi ya kulinda amani kwa kuwa wanajua RPF kupitia majeshi ya The United Nations Assistance Mission for Rwanda (UNAMIR) ndiyo yaliyowasaidia kuipindua serikali ya Rwanda sasa wanataka na Burundi wayakubali majeshi hayo ili iwe rahisi kujipenyeza huko na kuleta machafuko makubwa.

I salute Nkurunziza kuyakataa majeshi hayo maana hayo ndiyo yanayoweza kumuangusha kama alivoangushwa Habyarimana. Akomae na hao big nose atawashinda tu hawana jipya
 
Madaraka hufanya viongozi Afrika kujifikiria miungu watu.
 
Mimi kuna kitu huwa nikifikiria basi najisikia kutapishwa kabisa, Kagame ameitawala Rwanda tokea mwaka 1994 July, najua wengi watasema kuwa rais wa wakati huo alikuwa Pasteur Bizimungu lakini kwa taarifa yenu Bizimungu alikuwa tu zuzu lililokaa pale kufuata matakwa ya boss wake Kagame.

Yoweri Museveni ametawala Uganda tokea sijazaliwa mwaka 1986 mpaka sasa ni rais wa Uganda na mwezi huu bila shaka yoyote ile Waganda watampatia tena kura za ndiyo kumpeleka ikulu.

Sasa huwa najiuliza why Burundi and why Nkurunziza kutaka mhura wa Tatu imekuwa taabu kwa Uganda na Rwanda? Kwa nini wao wasitoe kwanza boriti kwenye jicho lao ndiyo watoe na maboriti ya wenzao? Kuna kitu Rwanda inatafuta kupitia Burundi si bure but this time naamini mchuma janga hula na wa kwao kwa hiyo haitaishia Burundi itavuka mpaka Rwanda.

Kila siku Rwanda inashinikiza Burundi ipokee majeshi ya kulinda amani kwa kuwa wanajua RPF kupitia majeshi ya The United Nations Assistance Mission for Rwanda (UNAMIR) ndiyo yaliyowasaidia kuipindua serikali ya Rwanda sasa wanataka na Burundi wayakubali majeshi hayo ili iwe rahisi kujipenyeza huko na kuleta machafuko makubwa.

I salute Nkurunziza kuyakataa majeshi hayo maana hayo ndiyo yanayoweza kumuangusha kama alivoangushwa Habyarimana. Akomae na hao big nose atawashinda tu hawana jipya
Mkuu umenena vyema kabisa. Tatizo la Burundi, watu wengi sana hawalifahamu. Michango ya wengi wanaochangia, wanachangia kwa hisia na ushabiki tu. Nimewasikia hata wabunge wa Tanzania wanamlinganisha rais Shein wa Zanzibar na Nkurunziza. Tatizo kubwa la Burundi ni ukabila. Ukabila peke yake ndio unaoleta shida Burundi. Hivi unadhani ni kwa nini wanaompinga Nkurunziza ni Watusi tu? Kwa nini hawaendi mahakama ya Africa kushitaki? Wanajua hawatashinda, kwa sababu Nkurunziza yupo madarakani kisheria na kikatiba. Ukabila uliopo Burundi ndio huohuo uliopo Rwanda. Burundi kuna Watusi, watusi hao wanaungwa mkono na Watusi wenzao Paulo Kagame na Yoweri Museveni. This time Watusi hawa wamekwama na watakwama milele kwa sababu sasahivi Wahutu wengi wapo jeshini. Ingekuwa jeshi lipo dominated na Watusi peke yao saahizi Nkurunziza angekuwa marehemu. Chokochoko lililopo Burundi Pierre Buyoya ndio kinara kwa upande wa Watusi wakifadhiliwa na Kagame na Museveni. Kwahiyo Burundi na Rwanda matatizo yao makubwa ni ukabila na mbaya zaidi Watusi wanajifanya kutaka kutawala wao tu na kwa kipindi hiki wamenoa. Kwa Rwanda ni suala la muda tu, kagame atatimuliwa kama fisi muda sio mrefu.
 
Mkuu umenena vyema kabisa. Tatizo la Burundi, watu wengi sana hawalifahamu. Michango ya wengi wanaochangia, wanachangia kwa hisia na ushabiki tu. Nimewasikia hata wabunge wa Tanzania wanamlinganisha rais Shein wa Zanzibar na Nkurunziza. Tatizo kubwa la Burundi ni ukabila. Ukabila peke yake ndio unaoleta shida Burundi. Hivi unadhani ni kwa nini wanaompinga Nkurunziza ni Watusi tu? Kwa nini hawaendi mahakama ya Africa kushitaki? Wanajua hawatashinda, kwa sababu Nkurunziza yupo madarakani kisheria na kikatiba. Ukabila uliopo Burundi ndio huohuo uliopo Rwanda. Burundi kuna Watusi, watusi hao wanaungwa mkono na Watusi wenzao Paulo Kagame na Yoweri Museveni. This time Watusi hawa wamekwama na watakwama milele kwa sababu sasahivi Wahutu wengi wapo jeshini. Ingekuwa jeshi lipo dominated na Watusi peke yao saahizi Nkurunziza angekuwa marehemu. Chokochoko lililopo Burundi Pierre Buyoya ndio kinara kwa upande wa Watusi wakifadhiliwa na Kagame na Museveni. Kwahiyo Burundi na Rwanda matatizo yao makubwa ni ukabila na mbaya zaidi Watusi wanajifanya kutaka kutawala wao tu na kwa kipindi hiki wamenoa. Kwa Rwanda ni suala la muda tu, kagame atatimuliwa kama fisi muda sio mrefu.
Upo sahihi kabisa safari hii patachimbika sana, by the way kwa nini shida ipo vitongoji vya Bujumbura tu tena sehemu moja iliyokaliwa na watusi tu
 
Upo sahihi kabisa safari hii patachimbika sana, by the way kwa nini shida ipo vitongoji vya Bujumbura tu tena sehemu moja iliyokaliwa na watusi tu
Ukabila tu mkuu. Watusi hawataki kabisa kuongozwa na muhutu, chokochoko zote hizo ni buyoya, paka na museveni ndio wanaozitengeneza.
 
Ni dhambi kwa sababu wananchi wake wamemgomea, hata hao kina PK na YM siku wananchi wao wakiwagomea utaiona hiyo dhambi unayoiulizia.

Kama Burundi wangetulia baada ya jamaa kujiongezea muda usingesikia mtu analalamika ki hivyo.
 
Ni dhambi kwa sababu wananchi wake wamemgomea, hata hao kina PK na YM siku wananchi wao wakiwagomea utaiona hiyo dhambi unayoiulizia.

Kama Burundi wangetulia baada ya jamaa kujiongezea muda usingesikia mtu analalamika ki hivyo.
Wananchi wamemugomea kwa njia gani? Nkurunzinza ameshinda uchaguzi wa April 2015 kwa kishindo, hao rebels wachache ndio wananchi wamemugomea? Kama ndio hivyo Uganda kuna ADF na kulikuwa kina Kony? Mbona Rwanda kuna FDRL? Tuache kuleta cheap justification
 
Mimi kuna kitu huwa nikifikiria basi najisikia kutapishwa kabisa, Kagame ameitawala Rwanda tokea mwaka 1994 July, najua wengi watasema kuwa rais wa wakati huo alikuwa Pasteur Bizimungu lakini kwa taarifa yenu Bizimungu alikuwa tu zuzu lililokaa pale kufuata matakwa ya boss wake Kagame.

Yoweri Museveni ametawala Uganda tokea sijazaliwa mwaka 1986 mpaka sasa ni rais wa Uganda na mwezi huu bila shaka yoyote ile Waganda watampatia tena kura za ndiyo kumpeleka ikulu.

Sasa huwa najiuliza why Burundi and why Nkurunziza kutaka mhura wa Tatu imekuwa taabu kwa Uganda na Rwanda? Kwa nini wao wasitoe kwanza boriti kwenye jicho lao ndiyo watoe na maboriti ya wenzao? Kuna kitu Rwanda inatafuta kupitia Burundi si bure but this time naamini mchuma janga hula na wa kwao kwa hiyo haitaishia Burundi itavuka mpaka Rwanda.

Kila siku Rwanda inashinikiza Burundi ipokee majeshi ya kulinda amani kwa kuwa wanajua RPF kupitia majeshi ya The United Nations Assistance Mission for Rwanda (UNAMIR) ndiyo yaliyowasaidia kuipindua serikali ya Rwanda sasa wanataka na Burundi wayakubali majeshi hayo ili iwe rahisi kujipenyeza huko na kuleta machafuko makubwa.

I salute Nkurunziza kuyakataa majeshi hayo maana hayo ndiyo yanayoweza kumuangusha kama alivoangushwa Habyarimana. Akomae na hao big nose atawashinda tu hawana jipya
Kuna kitu inahitwa IMA EMPIRE
 
Wananchi wamemugomea kwa njia gani? Nkurunzinza ameshinda uchaguzi wa April 2015 kwa kishindo, hao rebels wachache ndio wananchi wamemugomea? Kama ndio hivyo Uganda kuna ADF na kulikuwa kina Kony? Mbona Rwanda kuna FDRL? Tuache kuleta cheap justification
Kwa hiyo wanaokufa Burundi sasa hivi ni Rebels? Duh!
 
Kwa hiyo wanaokufa Burundi sasa hivi ni Rebels? Duh!
Sasa wewe unawaona kina nani? Au kwa vile main stream media wanawapaka rangi unaona hao ni watu wenye akili timamu? Mtu anaenda kuvamia kambi ya jeshi na silaha, mtu anafanya assassination za viongozi mbalimbali wa Burundi, hao ni rebels hakuna jina jingine linalowafaa.
Na kiuhalisia jumuiya za kimataifa ilibidi ziwalaani pia, la sivyo tunaendelea kutengeneza precedent za ajabu Africa, haiwezekani mtu ushindwe kesi mahakama, ushindwe uchaguzi tena halafu ukimbilie vita na utetewe na jumuiya ya kimataifa.
 
"Kwa nini kwa Peire Nkurunziza ni dhambi ila kwa Mseveni na Kagame si dhambi"

lakini pia eti si dhambi kwa Shein na CCM hapa Tanzania!!
LIKE, LIKE, LIKE....x10000000
asubuhi yangu imekuwa njema sana...kwa hii sentensi yako....
 
Ni dhambi kwa sababu wananchi wake wamemgomea, hata hao kina PK na YM siku wananchi wao wakiwagomea utaiona hiyo dhambi unayoiulizia.

Kama Burundi wangetulia baada ya jamaa kujiongezea muda usingesikia mtu analalamika ki hivyo.
Unajua idadi au asilimia ya wananchi waliomgomea,lishasikia tofauti na Bujumbura tena baadhi ya vitongoji km kuna sehemu nyingine wanampinga Nkurunziza? Kwa taarifa yako hakuna wananchi waliompinga Nkurunziza isipokuwa Kagame na Mseveni ndiyo wanaompinga Nkurunziza kupitia kwa watusi wachache waliowaweka Bujumbura kufanya fujo.
Trust me Burundi safari hii hao wenye chokochoko wataisha kimya kimya mpaka pale watakaposalimu amri, hii ni kwa sababu Kagame na Mseveni wanadhani kuwa itawezekana kumuingiza kibaraka wao ila hawajui kuwa ulinzi kwa sasa unafanywa na askari polisi na watu wa usalama ambao wengi ni wa kabila la Nkurunziza so patachimbika na AU peace keeping force haitaruhusiwa kabisa kukanyaga Burundi maana kilichotokea Rwanda Warundi wenye akili zao wanakijua
 
Unajua idadi au asilimia ya wananchi waliomgomea,lishasikia tofauti na Bujumbura tena baadhi ya vitongoji km kuna sehemu nyingine wanampinga Nkurunziza? Kwa taarifa yako hakuna wananchi waliompinga Nkurunziza isipokuwa Kagame na Mseveni ndiyo wanaompinga Nkurunziza kupitia kwa watusi wachache waliowaweka Bujumbura kufanya fujo.
Trust me Burundi safari hii hao wenye chokochoko wataisha kimya kimya mpaka pale watakaposalimu amri, hii ni kwa sababu Kagame na Mseveni wanadhani kuwa itawezekana kumuingiza kibaraka wao ila hawajui kuwa ulinzi kwa sasa unafanywa na askari polisi na watu wa usalama ambao wengi ni wa kabila la Nkurunziza so patachimbika na AU peace keeping force haitaruhusiwa kabisa kukanyaga Burundi maana kilichotokea Rwanda Warundi wenye akili zao wanakijua
Amani iwe kwako. Tunahitaji watu wenye uelewa kama wewe!
 
Back
Top Bottom