Recent content by niko poa

  1. niko poa

    Leo tarehe 28/08/2017 Redio free Africa inatimiza miaka 22, njooni tukumbushane vipindi na watangazaji

    duh nakumbuka mambo mambo na sweet menthol kuna tangazo moja la sm nilikuwa nalipenda sana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. niko poa

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    acha upotoshaji kwanza hueleweki, au umekop na kupest mzee babu zangu walikula dona kwa muda wa miaka 98 bila tatizo lolote, labda ushauri watu wasihifadhi mahindi kwa madawa makali unaeza eleweka kidogo
  3. niko poa

    Wewe ni mfugaji? Uliza swali lolote la kitaalam nikusaidie

    nina mpango wa kuanza ufugaji wa nguruwe sasa nashindwa kupata namna ya kujenga mabanda kwa ajili ya hao nguruwe, naomba ushauri wa jinsi ya kujenga mabanda ya kisasa coz nataka nitumie tofali na sio mabanzi, pia nataka kufahamu vipimo kwa kila chumba na idadi ya nguruwe kwa kila chumba...
  4. niko poa

    TAESA kuna nafasi nyingi za Kazi

    hawa jamaa ni wahuni sana wala sitaki kuwasikia
  5. niko poa

    Mayai ya Kwale kama Kikombe cha Babu, Wananchi tuchukue tahadhari

    mayai yenye kutibu angalau katika kiwango flan ni yale ya kwale waishio porini kwani huwa wanakula wadudu mbalimbali na vyakula vingine vinavyopatikana huko porini, sasa ukishawatoa kule nakuwafuga nyumbani kama kuku, mayai yanakua hayana tofauti na yale ya kuku wa kisasa kwa sababu wanapewa...
  6. niko poa

    Mwenye update ya hawa TTCL Kuhusu Usaili kwa nafasi za March 2015

    Kuna nafasi mbalimbal walitangaza tangia March 2015, au watu walishaanza kazi tayari.
  7. niko poa

    Joseph Msukuma ni nani?

    usd 780,000 hivi.
  8. niko poa

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    naombeni kwa mwenye ufaham kuhusu bmw x 3 atujuze
Back
Top Bottom