Recent content by Niga boy

  1. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Sam Mahela kumwambia Hashim Rungwe anaropoka, ni kumkosea adabu

    Tatizo kubwa la Sam ni kuwa anataka yeye amiliki meza ya mazungumzo hafu mtu ajibu kama Sam anavyotaka. Hilo neno la kumuuliza mheshiwa Rungwe anaropoka amelitamka kwa makusudi kwa makusudi ili kumvunja nguvu kwa kile Rungwe alichokuwa akielezea kuhusu uzoefu wa Clearing na fowarding bandarini...
  2. Niga boy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabinti wa Kiisrael(Wayahudi) wanavutia sana

    Hebu tuwaone na upande wa nyuma ya nyumba!
  3. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumpendekeza Maxence Melo kwenye Tuzo ya Human Rights Tulip

    Mkuu melo anafaa tuzo hii
  4. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea huko Pretoria South Africa

    Haya majamaa ya south yalitakiwa kujifunza hata kwa wema waliotendewa kwa kupewa hifadhi hata Tz wakati wa apartheid system lakini naona Wivu, chuki dhidi ya wageni vinawasumbua.
  5. Niga boy

    JamiiForums Tanzania 2016 US Election Results: Donald Trump has won the presidency

    Sasa naamini kuwa Siasa ni mchezo mchafu kwa kutokana na kura zinavyoonyesha kwa Trump ambaye hakuaminiwa na wengi kuwa atashinda lakini mambo yanakuwa opposite, ngoja tusubiri mpka mwisho wa mchezo.
  6. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Dr. Cheni aeleza sababu za kutojihusisha tena na filamu nchini

    NDOMO ni nani mkuu fafanua mkuu.
  7. Niga boy

    JamiiForums Tanzania SAUT main campus, mambo haya yanakera acheni!

    Tatizo lingine naliona hapa SAUT wanafunzi wasiokuwa na kipato unapoanza kujiunga ni vigumu kwani wana kitu kinaitwa Administrative costs kilichoanza 2006 na bado unatakiwa ulipe nusu ya tuition fees,sasa kwa wanafunzi walio wengi ambao wanatoka familia maskini hupatwa na tatizo kama hilo la...
  8. Niga boy

    JamiiForums Tanzania MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

    Naomba kuuliza wana jf mnaojua hivi Diamond alikuwa anashindanishwa na wasanii wengine katika vipengele vingapi?
  9. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

    Mme-boar bhana! comments za matusi zimezidi.
  10. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

    Majina ya kishari na shombo yanatoa picha ya mtu kutoelimika. Ally Kiba hajasema kamzidi wizikid bali ni tafsiri za watu katika comments ambazo zinaweza kuwa sahii au uongo.
  11. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

    Na wewe naona unatuaminisha kuwa uwezo wa kufikiri umeishia hapo fuata ushauri kama alilpewa jamaa anayeshadadia kuwaita wenzie papuchi sasa na wewe naona dumeshupa lipo mdomoni mwako.
  12. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

    Mtu kukujibu usivyopenda kunategemea umetumia approach ipi na aina ya maswali uliyouliza. Unaweza swali la kishari ni wazi unaweza jibiwa kishari, au ukawa hayuko kwenye moody nzuri ya kukujibu unavotaka.... Ni mawazo yangu.
  13. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Video: Sallam afunguka tuhuma za kumfanyia ‘figisu’ Ali Kiba Mombasa Rocks Music Festi

    This is too much censure to Kiba!
  14. Niga boy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini wanawake wa kizazi cha sasa wanavaaga kaptula ya jeans ndani badala ya chupi?

    Acha kabisa! Ni wazi jeans ngumu kuliko pichu ni sbabu ya akina dada wengi kutojikubali na kutaka sifa ya kuonekana wana maumbile makubwa ya makalio.
  15. Niga boy

    JamiiForums Tanzania Sallam aeleza ukweli wa tukio la show Mombasa

    Naona comment nyingi ni za ki team na sio positive nilitegemea kuwa watu mngetoa ushauri unaojenga ili kufanya wasanii wetu warekebishe pale palipo na tatizo but naona ni discouragement zaidi. Kiba amekosea kama wasanii wengine ambavyo hufanya kwani hata Mondi kuna fiesta moja iliwahi fanyika...
Back
Top Bottom