Kinachoendelea huko Pretoria South Africa

Kinachoendelea huko Pretoria South Africa

Wasouth Africa naona ni wapumbavu sana walishindwa kuwatoa makaburu sasa hasira zao wanamalizia kwa wa Africa wenzao tena watafuta maisha tu hiyo nchi yakisenge sana kama Msumbiji
 
Haya majamaa ya south yalitakiwa kujifunza hata kwa wema waliotendewa kwa kupewa hifadhi hata Tz wakati wa apartheid system lakini naona Wivu, chuki dhidi ya wageni vinawasumbua.
 
Wazungu kuna kitu waliwafanya weusi wa nchi za kusini mwa Africa maana wamekuwa kama wanyama Mungu anasiri kubwa sana na watu weusi na siku hyo siri ikitoka watu weusi tutajisikia vibaya sana
 
Duh! inatisha sana. Waafrika kwa waafrika wameamua kumalizana.
 
Kuna jamaa yetu kutoka humu humu alituaga anaenda SA kutafuta maisha sijui yupo wapi na alikuwa anatupa up date kila hatua ya safari yake sasa sijui itamcost? Tumwombee MUNGU?
Atakutana na dhahama hko dah

Ova
 
Hawa jamaa laiti wangekumbuka hata chembe ya Maneno ya Busara ya Baadhi ya Viongozi waasisi wa Bara hili km vile Nyerere,Kwame Nkurumah,Nelson Mandela na wengine hakika wasingelifanya unyama huo.
 
Hawa wapuuz wamesahau mataifa yalivopambana kuwatafutia uhuru wao
 
Back
Top Bottom