Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Wasalaam.
Hiki chuo ni miongoni mwa vyuo vyenye miundombinu mibovu haswa yaani nakifananisha na Pugu secondary shule niliyosoma A'level.
Najua wengi mtakasirika sana lakini ndo UKWELI, pia haya sio yalionifanya nianzishe hii thread.Yalionifanya nianzishe hii thread ni haya:
1. Hili la kwanza limeshazungumzwa na Rais nalo ni kuwahi kufungua chuo halafu kugoma kupokea wanafunzi bila kulipa ada. Hili jambo linatesa sana vijana hasa wale wa kaya maskini. Sitalizungumzia sana kwa kuwa kwa sasa lipo known kwa kila mtu. Mdogo wa rafiki yangu amefukuzwa chuo mpaka alipe nusu ya ada na yeye anategemea boom hana baba na ***** kajitahidi sana kumsomesha secondary na alipokuwa anaenda chuo alipewa laki mbili tuu, baada ya kuomba akaambiwa alipe laki nne kwanza so ikabidi nimkopee likiingia boom anirudishie. Naomba uongozi wa vyuo vyote nchini na wahusika wakuu mlifanyie kazi agizo la mh.Rais
2. Lakini ujinga level ya degree na sijui wameutoa wapi hawa jamaa wa SAUT main campus Mwanza la kulazimisha wanafunzi kukaa kwenye hostel zao. Kulisikia hili nilikasirika sana na chuo chenyewe kilivyo kibaya, utamlazimishaje mtu kukaa kwenye hostel zenu?
>Je ndo kusema mnawapenda sana au mnafanya biashara kwa lazima?
>Au mnalazimisha kwa kuwa hostel zenu mbovu mnahisi mtakosa watu ?
Embu acheni ujinga bana kama mnataka watu boresheni hostel zenu hizo ambazo zipo kama za secondary yenu ya Pugu.
Rais yupo sahihi hivi vyuo vingine bora vifutwe tuu.
Hiki chuo ni miongoni mwa vyuo vyenye miundombinu mibovu haswa yaani nakifananisha na Pugu secondary shule niliyosoma A'level.
Najua wengi mtakasirika sana lakini ndo UKWELI, pia haya sio yalionifanya nianzishe hii thread.Yalionifanya nianzishe hii thread ni haya:
1. Hili la kwanza limeshazungumzwa na Rais nalo ni kuwahi kufungua chuo halafu kugoma kupokea wanafunzi bila kulipa ada. Hili jambo linatesa sana vijana hasa wale wa kaya maskini. Sitalizungumzia sana kwa kuwa kwa sasa lipo known kwa kila mtu. Mdogo wa rafiki yangu amefukuzwa chuo mpaka alipe nusu ya ada na yeye anategemea boom hana baba na ***** kajitahidi sana kumsomesha secondary na alipokuwa anaenda chuo alipewa laki mbili tuu, baada ya kuomba akaambiwa alipe laki nne kwanza so ikabidi nimkopee likiingia boom anirudishie. Naomba uongozi wa vyuo vyote nchini na wahusika wakuu mlifanyie kazi agizo la mh.Rais
2. Lakini ujinga level ya degree na sijui wameutoa wapi hawa jamaa wa SAUT main campus Mwanza la kulazimisha wanafunzi kukaa kwenye hostel zao. Kulisikia hili nilikasirika sana na chuo chenyewe kilivyo kibaya, utamlazimishaje mtu kukaa kwenye hostel zenu?
>Je ndo kusema mnawapenda sana au mnafanya biashara kwa lazima?
>Au mnalazimisha kwa kuwa hostel zenu mbovu mnahisi mtakosa watu ?
Embu acheni ujinga bana kama mnataka watu boresheni hostel zenu hizo ambazo zipo kama za secondary yenu ya Pugu.
Rais yupo sahihi hivi vyuo vingine bora vifutwe tuu.