wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Kadri siku zinavyoenda huenda wakatembea bila ya nguo yoyote ndani, kuna mdada jirani yetu anajidai sana. Sasa juzi kumbe kuna jamaa anamfahamu anakaa nae nyumba moja, sasa wakati yule dada kaja gengeni jirani kidogo na ninapokaa akawa anaongea maneno ya kashfa fulani kwa wadada wenzake, kumbe yule jamaa alisikia yale maneno ndipo alipoamua kumtolea uvivu akamwambia laivu bila chenga kuwa ''na wewe uache tabia yako ya kuvaa kikaptula cha jeans ndani uwe unavaa chupi kama wadada wenzako''
Yaani pale lilianza timbwili la kufa mtu walijaa watu kibao pamoja na wakina mama wate walimrudi yule dada akanywea balaa, kumbe inasemekana hua anavaa hivyo ili aonekane ana wowowo, yule dada aliona aibu sana.
Ushauri wangu kwa dada zangu humu, ritdhikeni na miili mliopewa na Mungu wenu.
Yaani pale lilianza timbwili la kufa mtu walijaa watu kibao pamoja na wakina mama wate walimrudi yule dada akanywea balaa, kumbe inasemekana hua anavaa hivyo ili aonekane ana wowowo, yule dada aliona aibu sana.
Ushauri wangu kwa dada zangu humu, ritdhikeni na miili mliopewa na Mungu wenu.