Jipe muda kwanza wa kutosha( the best medicine of a broken heart is time) wat ua trying to do is to replace her which is not right. Wewe jipe muda na accept kwamba mmeacha na move forward.
mama mwenye mimba anapohukumiwa kifungo na kisha akajifungulia jela , hapo inabidi atumikie kifungo yeye pamoja na mtoto wake mchanga ili aweze kumpa mahitaji yake muhimu.. je hapa si sawa na kumfunga mtoto ambaye hajafanya kosa? kama kuna mdau ana ufumbuzi au anajua sheria juu la hili tafadhali...
Law school kwanza..ili uweze ku practise sheria lazima uwe umepita law school kwanza. manufaa ya kwenda law school ni kwamba unajifunza technicalities za sheria na drafting of different legal documents, pia field ya law school itakusaidia sana kujua vitu kwa vitendo kwa vile utakaa kote kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.